Wanaume wenzangu hii ikoje

Wanaume wenzangu hii ikoje

Ndio hivyo mwanawane. U can never be just the one kwa mwanamke. Hapa kila kidume anapambana angalu aingie top four acheze champions league.
Let no woman lie to u bro, they all have four guys they give their pussssy to. U just have to be among the four😜
Fear women i tell u!
Acha kuwadanganya wenzio
 
Na ww ulikuw fala.
Mie ningeenda huko Lodge, sometimes si kila kitu usubiri kitokee prevent it.

Kuna Manzi mmoja mpk kesho anasema kila akiw ktk mtihani wa kunicheat anaogopa (why) anajua nitajua au nishajua nini anataka kufanya.
Huyo anakupenda kweli bro.
 
Stori ndefuu alafu huna akili😂😂😂😂 yaani ushastukia mchezo si usikilize mafsi yako na madem kama hao ww kula mzigo muache aende akikuomba pesa kama unajiskia kisaidia mpe usipojiskia usimpe mwanaume unataka kuleta tabia za wadada hujiamini alafu huna maamuzi
Umenishauri & kuniponda humo humo.
 
Common sense pls. Nothing good would ever come even if dude will think positively about this situation. She's a cu.nt, simply I can say she's a ho. giving her a call and not picking up the phone and also rejecting to go to the dude's house should be taken as warning before their relationship go abyss.
We jamaa Safi , since Jana kapiga 10+ calls mixer sms ili tuonane.
I'm totally rejected zote.
 
Hakuepukiki ndio ila isiwe waziwazi kama ivyo. Huyo binti kajionesha kabisa
Sasa sii vizuri ikiwa wazi wazi maana yake unajua huyu ni kubutua tuu hamna kuweka kambi.
Hao ndio wazuri kuliko wale wanaojifanga angels alafu mwanawane unakuja pigwa butwaaa
 
Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.

Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"

Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"

Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"

Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"

But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12

Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"

Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..

Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani

Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .

Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .

Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Ushachapiwa mkuu, au wewe ndo ulikua unamchapia mtu, ushauri wangu wa bure kabisa. Huyo achana Nate. Utakuja kunishukuru baadae
 
Wakati mwingine vijana mnapenda kujichosha demu umekutana nae kwenye bus ukampata siku hiyohiyo wewe unaweka malengo kabisa alafu eti unakua na wivu, inawezekana alikuzawadia tu ila ana mtu wake. Achana nae
 
Endelea na. Mishe zako mkuu Wala asikusumbue.

Wala usimwaze

Mimi Kuna mmoja Niko nae hapa kati tulikuwa moto sana akaona Nampa sana attention akajiona matawi na Mimi si lolote akaanza leta mbwembwe.

Nimekula bati nilikuwa nime mute kutongoza miezi 3 nimeanza upya

Yeye daily ananitafuta mi Niko bize na mishe zangu nitamcheki mwezi mmoja baadae ila Incase atanicheki tena.

Otherwise nikama nimemtumpa kwenge dustbin kwa Muda.
 
Back
Top Bottom