Wanaume wenzangu hii ikoje

Wanaume wenzangu hii ikoje

Unataka ukweli..??
Ukweli ni kuwa tukimpenda mwana ile kiukweli, huwa hatuthubutu kucheat hata iweje..!!
Huu ndio ukweli,wanaume eleweni hapa,ukiona mwanamke ame ku cheat hakupendi na Wala Hana hisia na wewe,na once akidhaku cheat hawezi kukupenda tena kama mwanzo Hilo sahau,ndio maana mnaambiwa mwanamke akikucheat kwa sababu yoyote Ile basi usiendelee kuishi naye hata kama kaomba msamaha maana hisia na moyo wake vipo kwa huyo jamaa anae cheat naye,na wanaume kumbukeni hili mwanamke anapenda kwa kitumia moyo/hisia so mpaka awe na hisia na mtu, except tu wale Malaya ambao wapo kazini akija mtu na dau lake anajipigia anasepa Hawa hawajali hisia coz wapo kazini wanachokiangalia zaidi ni pesa .
Lkn wanaume hupenda kwa kitumia AKILI zaidi kuliko hisia,thus why anaweza akacheat na kwenye familia yake akawa stable,yeye anaendeshwa na mihemko na tamaa,so once Ile tamaa ikiisha basi anamtema mtu anasepa kwa mkewe,hivi ndivyo ilivyo.
I'm speaking from experience.
I'm speaking from experience nn
 
Sista kama ukija kuzaa mtoto wakiume, hata siku moja usijemwambia hivi, hasa kwanyakati za sasa. Nani anayemjua anayempenda kweli, naasimame juu na anyooshe kidole, basi kwakuwa hakuna vivyohivyo na mtoto wa kiume aishi akijua muda wowote anaweza kugeukwa au kucheatiwa. Awezaye kumtofautisha mdangaji na mke mwema kwakipindi hiki hakuna basi kila mmoja na aishi kwa tahadhari.

Zingatia niliulizwa nini na nimejibu nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.

Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"

Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"

Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"

Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"

But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12

Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"

Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..

Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani

Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .

Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .

Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
2020 Hii scenerio hivi kama ilivyo ilinikuta sema yeye alikuwa anatoka Moshi to morogoro then Dar to Moshi sikuambie mtu ndugu.... Bia tamu

Huyu manzi baada ya kufika mkoani nilipo zilipita siku 5 Tu baada ya hiyo safari yake akasema ni mjamzito baada Tu ya kurudi... Mimi nilimnyamazia kimya akanitumia picha ya kipimo WhatsApp, nikampigia akasema mzigo ndio huo...

Nikamwambia njoo ofisini nikupime mwenyewe akasema sawa... Alipitiliza hakuja ofisini kama siku 3 baadae akapiga simu eti kaziona siku zake....

Nikamwambia laana ya mimba aliyoitoa itammaliza... Ghafla akahama mkoa ... Mpaka sasa yuko huko makao makuu ya nchi

Wewe mdada ni mshenzi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 Hii scenerio hivi kama ilivyo ilinikuta sema yeye alikuwa anatoka Moshi to morogoro then Dar to Moshi sikuambie mtu ndugu.... Bia tamu

Huyu manzi baada ya kufika mkoani nilipo zilipita siku 5 Tu baada ya hiyo safari yake akasema ni mjamzito baada Tu ya kurudi... Mimi nilimnyamazia kimya akanitumia picha ya kipimo WhatsApp, nikampigia akasema mzigo ndio huo...

Nikamwambia njoo ofisini nikupime mwenyewe akasema sawa... Alipitiliza hakuja ofisini kama siku 3 baadae akapiga simu eti kaziona siku zake....

Nikamwambia laana ya mimba aliyoitoa itammaliza... Ghafla akahama mkoa ... Mpaka sasa yuko huko makao makuu ya nchi

Wewe mdada ni mshenzi....

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu
 
Huu ndio ukweli,wanaume eleweni hapa,ukiona mwanamke ame ku cheat hakupendi na Wala Hana hisia na wewe,na once akidhaku cheat hawezi kukupenda tena kama mwanzo Hilo sahau,ndio maana mnaambiwa mwanamke akikucheat kwa sababu yoyote Ile basi usiendelee kuishi naye hata kama kaomba msamaha maana hisia na moyo wake vipo kwa huyo jamaa anae cheat naye,na wanaume kumbukeni hili mwanamke anapenda kwa kitumia moyo/hisia so mpaka awe na hisia na mtu, except tu wale Malaya ambao wapo kazini akija mtu na dau lake anajipigia anasepa Hawa hawajali hisia coz wapo kazini wanachokiangalia zaidi ni pesa .
Lkn wanaume hupenda kwa kitumia AKILI zaidi kuliko hisia,thus why anaweza akacheat na kwenye familia yake akawa stable,yeye anaendeshwa na mihemko na tamaa,so once Ile tamaa ikiisha basi anamtema mtu anasepa kwa mkewe,hivi ndivyo ilivyo.
I'm speaking from experience.
I'm speaking from experience nn
Kumbe uliwahi kucheat wewe. Ebu tupe sababu ya kucheat. Na kwa nini uliruhisu kugegedwa na mtu usie mpenda?
 
Nabisha kuwa kukaa muda mrefu bila sex hakuna madhara, inawezekana miezi miwili ni michache sana watu wanaokaa hata miaka without doing it ila hii ni kwa wanawake tu,lkn wanaume hawezi,it's a nature.
Sasa kama mwanaume hawezi kaa mwezi, na huyo mwanaume anatomber mwanamke huoni kuwa kuna contradiction hapo?

Alafu mwaka mzima bila kugegedwa itakuwa anatumia tango so that dnt count as mwaka bila kugegedwa maana anakuwa amejihegeda mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣

Na kwa nini ukae mwaka bila kugegedwa? Una matatizo gani kama mwanamke?
 
Kaja kupigiwa hapohapo mlangoni
JamiiForums-130570699.jpg
 
Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.

Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"

Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"

Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"

Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"

But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12

Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"

Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..

Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani

Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .

Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .

Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Mbususu haisusagwi, Wala haichachi
 
Mbususu haisusagwi, Wala haichachi
Dah huu mseo unanikumbusha mrembo wangu aliniambia hivyo siku najidai kuvunga kula mbususu yake eti kisa ametombwer na mwanaume mwengine 🤣🤣🤣🤣🤣

Ila tukiwa vijana tunakuwa na ufala mwingi sana. Yaani ukatae mbususu kisa njemba mwengine ameikula🤣🤣🤣 stupid kabisa!
 
Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.

Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"

Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"

Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"

Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"

But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12

Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"

Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..

Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani

Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .

Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .

Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Kijana, ukweli wote unaujua, na anachokifanya unakijua, unatambua hakupendi, na kwamba anakuchuna pochi. Hana mpango na wewe yote haya unajua.

Shida ya yako umejitia ujinga na upofu wa mapenzi moyoni kiasi kwamba hayo unayoyajua unadhani na kutamani yawe ni uongo wakati ndio ukweli wenyewe.

Siku zote jiamini na simamia ukweli, utafurahia maisha na hutojuta. Piga chini fasta, futa kichwani kwako, na kama hauwezi kumchana live kuwa atembee akafie mbele, fanya diplomasia ya kuacha na kuua mawasiliano nae taratibu. Akitext usijibu au unajibu mara 1 kwa siku. Akitaka kuja geto mwambie umesafiri.

Shida kubwa naiona kwako, kufuta huo ujinga wa mapenzi moyoni mwako ndio mtihani. Ila majibu yote unayo. Kazi ni kwako, POWER TO YOU.
 
Back
Top Bottom