Mungu ibarik
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,376
- 11,520
- Thread starter
- #161
Kwa kweli... Ila mi nataka nijue! Hivi mwanamke unaweza kucheat na bado ukawa unampenda mtu wako? Tofauti na huyo ulocheat nae!! Au nyie cheating ikoje kwakina dada?Alafu hiyo comment niliandika kawaida tu ila kuna watu sijui mmechukuliaje. Hivi kukaa bila sex kwa kipindi fulani ni issue sana kwamba mtu utakufa? Mbona ni jambo la kawaida sana. Naona tunaanza kujadili mengine we pambana na mabalaa yako huko.
Sent using Jamii Forums mobile app

