ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,572
- 89,834
We ni mnene?Ni kweli
We ni mnene?Ni kweli
EeehWe ni mnene?
Unanipa tamaa leo siku yangu ya Bwana halafu nimetamaniEeeh
mange kimambiABSOLUTELY TRUE... WANAWAKE WEMBAMBA ASILIMIA KUBWA NI KIZUNGUMKUTI...
Yes.. Wanaume wengi pia siyo warefu Tanzania. Hiyo 166cm yangu, nikiiongezea na mchuchumio, wanaume wengi nawapita urefu.Mkuu, we mrefu kwa average ya wanawake. 166cm ni tolu kabisa.
we sakayo umefanya nionekane mwehu!Usinifanye nizidishe msosi mie.... Ila inaweza kuwa kweli eeeh... Maana wale wenzangu na mie tuna gubuuuu sijui mioyo yetu inagusana na mifupaa!!
Jamani nimewaza tuu kwa sauti!!!
Hahahawe sakayo umefanya nionekane mwehu!
Kwa hiyo unathibitisha mioyo yetu inasuguana na mifupa ndo maana tuna gubu eehunalo,uchochezii aaa nimekuvulia kofia,ukweli ninecheka sanaa,lakini nadhani kunakaukweli sababu - mfano Dagaa na samaki mkubwa hata uandaaji wake nitofauti!
(1) samaki mkubwa unampasua maji maramoja then jikoni.
(2) sasa mwenzangu namie Dagaa - maji tena yamoto sio uvuguvugu?koboa mchanga + chekecha + kung'uta + uwachungulie kaka mchanga umeisha + utumbo mchungu + vichwa ukatekate heeeeeeee!!! Hapana ukweli BOBGE HOYEEEEE
Kwa hiyo unathibitisha mioyo yetu inasuguana na mifupa ndo maana tuna gubu eeh
Mwanamke mwembamba akivaa gauni jekundu anakuwa kama pilipili kichaa, ndo mana huwapendi nnMwanamke mnene kwanza ni mtamu kwenye swala la Haki ya ndoa.. afu wanene wengi K zao ni ndogo yaan nizile mnato dah nashindwa kuelezea ila ni zile k zinazobana (naandika mpaka naisi kumpigia Bebe uh)
Sasa wembamba kwanza kina kirefu hatari ukijalibu kwenda kushoto ukuta upo mbali ukienda kulia ukuta unazidi kutanuka tu afu wengi wembamba wanagubu yaan awalidhiki utaenyeka wee mwenzako ata bunje.. mfano mzuri wale wanao jiuza tafuta mwembamba (sikushauli ila for investigation tu) utaona yaan
Pia wembamba bana Wana vialufu flani vibaya vinakera Sana sa cjui sababu awana mafuta mwilini.. (mi sijui ila naic hivyo)
Nakupenda mwanamke mnene maana muda mwingine kwake kutoa Tigo sio kazi ( nimeokoka nampenda muumba wangu)
Mioyo inabanwa na mbavuUsinifanye nizidishe msosi mie.... Ila inaweza kuwa kweli eeeh... Maana wale wenzangu na mie tuna gubuuuu sijui mioyo yetu inagusana na mifupaa!!
Jamani nimewaza tuu kwa sauti!!!
Mwongo wewe umenisema mimimi sijamsema mtu ujue
"kutoka takwimu za uongo ni kosa"