BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,989
Nilishasema hiviiii, wanaume unapotaka kuoa, oa anaekupendeza rohoni. Sio unaoa Irregular Shape kisa tabia halafu kumbe ni muumini mzuri tu wa Kyura uanze kumtesa mtoto wa watu.
Unanipa shida sana ujue unavyobadili badili username.Kuna wanaume wengi tu wanachepuka hadi wanaanzisha familia nje kwahiyo mnajiona mko sahihi kufanya hivyo si ndiyo??
Usipate shidaUnanipa shida sana ujue unavyobadili badili username.
Wanajitutumua tu ila wanauguliaPia huwa wanasema kwenye kuoa ndipo huwa wanatumia akili nyingi sana na hawaingii mkenge. Ila cha ajabu ndio wanaongoza kwa kulia lia humu ndani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Yaani mimi nikajua utasema mwanaume atafute namna gani ya kumsaidia mke wake asielemewe na hayo majukumu yanayomfanya achoke kumbe ndiyo umeandika hii vumbi hapa?? Haki wanaume wengi wa bongo mbingu mtaichungulia tu kwa mbali ileeeee!!Sasa unakuta wife kajifungua mtoto wa Tatu au wa pili bado wa kwanza ni mdogo pengine ana 4 yrs mwingne 3 yrs kila mda wife yuko benet na watoto kuwaangalia kuwahudumia huyu analia yule analia huyu anataka chakula mwngne pia anataka usiku bado akishtuka ucngzin analia sasa wife utamgusa saa ngap maana had unamuhurumia anavyowajibika bado tena ukimpiga game ndo analegea kabsa inabd ujiongeze kidume kuangalia wap unaeza tuliza mshindo kidogo then mambo yaendelee.
Ila chepuka unavyoweza ila usizae nnje maana familia itapitia migogoro
Na bado atabadili sana, ila comments zake ni ID tosha.Hahahaha dah! !! Kwa kubadili I'd Nampa tuzo
Poleni sana, sikujua kama kuna watu humu mnaumia hivi mimi kubadili id.Na bado atabadili sana, ila comments zake ni ID tosha.
ha ha ha haEeh kazi ipo hapa
ha ha ha akikua ataachaNa bado atabadili sana, ila comments zake ni ID tosha.
Wenye hii hii akili mpo wachacheUpendo haugawanyiki.
kwenye michepuko, watu wanaendeshwa na tamaa ya mwili.
Kumbuka, Kila mtu ana tamaa, tofauti iko hapa;
Unachokipalilia zaidi ndio kinaota na kustawi.
Ukipalilia tamaa, hadi unarudi kaburini hutakaa ushibe
Ukipalilia kujuzuia 'Self control' utaweza kujitawala.
Mtu mwerevu ni yule anayejua kuna maisha zaidi ya tamaa ya Pombe, Wanawake na pesa.
Kwa maana ukishavipata vyote, utahamishia satisfaction yako kwenye aina na idadi ambavyo havikomi.
Hakuna mtu anayezaliwa na kilema cha tamaa, bali tunazipalilia na kuziabudu wenyewe
"Angalia sana unachokipa kipaumbele maana mwishowe hicho kitu ndio kinakutawala"
To every one of us; You are a product of your thoughts, blame us not but what you feed your mind.
I mean blame you for you.
Hamna anaeumia wala, ila tunaoshangaa tupo wengi. Its not a big deal honey!Poleni sana, sikujua kama kuna watu humu mnaumia hivi mimi kubadili id.
If it isn't a big deal then you aren't supposed to be surprised!!Hamna anaeumia wala, ila tunaoshangaa tupo wengi. Its not a big deal honey!
🤣🤣🤣🤣🤣 mihangaiko tu my dear...my time is getting tighter japo namiss kuwepo humu sana.If it isn't a big deal then you aren't supposed to be surprised!!
Tuachane na hayo hivi ni nani huyo anayekuficha siku hizi??
Hawataki kukubali kuwa akili hawana.Wanajitutumua tu ila wanaugulia