Wanaume wenye Ndoa

Wanaume wenye Ndoa

Na unadhani kwanini wanawake wanafanya hayo yote ili wapate ndoa?? Usishangae haya maswali yote nataka nikuoneshe chanzo cha tatizo ni nini!!
Sasa hili la kuvutia biashara fafanua wewe maana lipo upande wa kike zaidi.
 
kama nakupenda kiukweli basi c ningemtimua wife ili nikuoe wewe.....


*jiongezeni nyie wanafunzi 🏃

Unaweza kushindwa kumuoa Mchepuko kutokana na imani yako ya dini, kama ni Mkristo unatakiwa kuwa na Mke mmoja tu, kuna Wanaume wana Ndoa zao lakini Michepuko inahudumiwa kuliko hata mke wa ndoa, Mchepuko anaweza kuwa na Gari, Nyumba na vitu vingi tu lakini mke wa ndoa hana,nashindwa kuelewa ni kweli Mwanaume mwenye Ndoa hawezi kuwa na upendo wa dhati kwa Mchepuko?
 
Hii ina uwanja mpana sana kuzungumzia kwa maana kila mmoja ana changamoto zake... Waswahili wanasema "Raha ya ngoma uingie ucheze"
 
Unaweza kushindwa kumuoa Mchepuko kutokana na imani yako ya dini, kama ni Mkristo unatakiwa kuwa na Mke mmoja tu, kuna Wanaume wana Ndoa zao lakini Michepuko inahudumiwa kuliko hata mke wa ndoa, Mchepuko anaweza kuwa na Gari, Nyumba na vitu vingi tu lakini mke wa ndoa hana,nashindwa kuelewa ni kweli Mwanaume mwenye Ndoa hawezi kuwa na upendo wa dhati kwa Mchepuko?
We usiwasikilize hawa chochote kinawezekana hapa chini ya jua
 
Poleni na majukumu wana JF

Naomba kujua kutoka kwa Wanaume walioko kwenye Ndoa na wana Nyumba ndogo, huwa ninasikia kwamba Mwanaume anapoamua kuoa ni kwamba huyo Mwanamke ndiyo chaguo lake sahihi ndiye aliyempenda katika kundi la Wanawake wengi, swali je Mwanaume mwenye Ndoa yake anaweza kuwa na upendo wa dhati kwa nyumba ndogo (Mchepuko)?
Wewe elewa kwamba sisi wanaume tunaweza kulala na wanawake hata kumi lakini no strings attached.
 
iko hivi....Kwa Mke ni Mapenzi yenye UPENDO ndani yake

Kwa mchepuko ni Mapenzi yenye TAMAA ndani yake...

HIYO NDO TOFAUTI ILIYOPO
 
Ndiyo kwa sababu hakuna mtu anayependa kunyooshewa vidole na jamii
Kama ni hivyo Kumbe mwanaume ni halali kabisa kuchepuka kwasababu aliyenae ndani ameletwa kwa hisani ya jamii na sio upendo.
 
iko hivi....Kwa Mke ni Mapenzi yenye UPENDO ndani yake

Kwa mchepuko ni Mapenzi yenye TAMAA ndani yake...

HIYO NDO TOFAUTI ILIYOPO

Kama hana upendo wa dhati na Mchepuko bali ni tamaa kwanini Mchepuko anaweza kuhudumiwa kuliko Mke wa Ndoa?
 
Kama ni hivyo Kumbe mwanaume ni halali kabisa kuchepuka kwasababu aliyenae ndani ameletwa kwa hisani ya jamii na sio upendo.
Ukisema hivyo ni sawa na kusema hata mwanamke naye ni halali kuchepuka!!

Kuchepuka ni tabia ya mtu tu kuna wanaume wanapendwa sana na wake zao na bado wanachepuka kwahiyo hilo halihusiani kabisa na kuchepuka!!
 
Kama hana upendo wa dhati na Mchepuko bali ni tamaa kwanini Mchepuko anaweza kuhudumiwa kuliko Mke wa Ndoa?

Mimi nafikiri kwa Wanaume walio na Ndoa za kushinikizwa kutokana na sababu mbalimbali au ambao upendo kwao umekosekana hawawezi kuwa na upendo na wake zao, upendo huhamishiwa kwa Michepuko ndiyo maana Mwanaume anaweza kumhudumia Mchepuko kuliko Mke wake wa Ndoa.
 
Back
Top Bottom