Wanaume wenye Ndoa

Wanaume wenye Ndoa

Michepuko hutusaidia kutuliwaza mke atabaki kua mke
Poleni na majukumu wana JF

Naomba kujua kutoka kwa Wanaume walioko kwenye Ndoa na wana Nyumba ndogo, huwa ninasikia kwamba Mwanaume anapoamua kuoa ni kwamba huyo Mwanamke ndiyo chaguo lake sahihi ndiye aliyempenda katika kundi la Wanawake wengi, swali je Mwanaume mwenye Ndoa yake anaweza kuwa na upendo wa dhati kwa nyumba ndogo (Mchepuko)?
 
Kwahiyo wewe usipofanya kila siku unaumwa au unakufa??
Ha ha ha ha hicho kiungo hakijawekwa hapo kama urembo,usipotumia kitapotea baadaye uanze kulalamika...mara imekuwa flat,mara kibamia n.k (jikumbushe...'darwinism')
 
Kwamba hata ukikaa siku mbili bila kufanya kinapotea?? Hivi haujishitukii mtu mzima unavyotoa sababu za kijinga hivyo??
Ha ha ha ha hicho kiungo hakijawekwa hapo kama urembo,usipotumia kitapotea baadaye uanze kulalamika...mara imekuwa flat,mara kibamia n.k (jikumbushe...'darwinism')
 
Kwamba hata ukikaa siku mbili bila kufanya kinapotea?? Hivi haujishitukii mtu mzima unavyotoa sababu za kijinga hivyo??
Haya mkuu ya kwako ikija kupotea usije kuomba msaada hapa jamvini....itabidi ujikaze kisabuni tu
 
Unapoamua kununua smartphone si huwa unakuwa na kasimu katochi pembeni,endapo smartphone ikizingua kitochi kinakuweka hewani.
 
Naunga mkono hoja coment atakayo leta sky eclat
Poleni na majukumu wana JF

Naomba kujua kutoka kwa Wanaume walioko kwenye Ndoa na wana Nyumba ndogo, huwa ninasikia kwamba Mwanaume anapoamua kuoa ni kwamba huyo Mwanamke ndiyo chaguo lake sahihi ndiye aliyempenda katika kundi la Wanawake wengi, swali je Mwanaume mwenye Ndoa yake anaweza kuwa na upendo wa dhati kwa nyumba ndogo (Mchepuko)?
 
Yote hayo ya nini kwanini usitulie tu na mkeo??

Haujanijibu nimekuuliza kwahiyo mnajiona mko sahihi kufanya hivyo??
Mko sahihi kufanya hivyo? ?? Mbona hili swali umeli jumlisha kwa wanaume wote. .. Au wanaume wote huwa tuna chepuka?
 
Poleni na majukumu wana JF

Naomba kujua kutoka kwa Wanaume walioko kwenye Ndoa na wana Nyumba ndogo, huwa ninasikia kwamba Mwanaume anapoamua kuoa ni kwamba huyo Mwanamke ndiyo chaguo lake sahihi ndiye aliyempenda katika kundi la Wanawake wengi, swali je Mwanaume mwenye Ndoa yake anaweza kuwa na upendo wa dhati kwa nyumba ndogo (Mchepuko)?
HAPANA.
 
Siyo wote ila ni wengi na hilo swali ukilisoma vizuri utagundua kuwa limewalenga wale wanaume wanaochepuka tu akiwemo huyo niliyemquote halafu pia hata wanaume msiochepuka bado mnapigia debe uchepukaji kwa sababu mnaona ni sahihi mwanaume kuchepuka!!
Mko sahihi kufanya hivyo? ?? Mbona hili swali umeli jumlisha kwa wanaume wote. .. Au wanaume wote huwa tuna chepuka?
 
kama nakupenda kiukweli basi c ningemtimua wife ili nikuoe wewe.....


*jiongezeni nyie wanafunzi 🏃
 
Unadhani ni kwanini mwanamke anashindwa kutimiza wajibu wake??
Mazoea, uzembe na kuona alichokuwa anakitafuta amekipata (ndoa) hivyo anajiona hana mshindani tena
 
Na unadhani kwanini wanawake wanafanya hayo yote ili wapate ndoa?? Usishangae haya maswali yote nataka nikuoneshe chanzo cha tatizo ni nini!!
Mazoea, uzembe na kuona alichokuwa anakitafuta amekipata (ndoa) hivyo anajiona hana mshindani tena
 
Hapana 'Mimi sioni kuwa ni sahihi. ...naweza kuwa nachepuka lakini sioni kuwa ni sahihi na haiwezi kuwa sahihi kwa mtu anaye tambua Utu
Siyo wote ila ni wengi na hilo swali ukilisoma vizuri utagundua kuwa limewalenga wale wanaume wanaochepuka tu akiwemo huyo niliyemquote halafu pia hata wanaume msiochepuka bado mnapigia debe uchepukaji kwa sababu mnaona ni sahihi mwanaume kuchepuka!!
 
Siyo wote ila ni wengi na hilo swali ukilisoma vizuri utagundua kuwa limewalenga wale wanaume wanaochepuka tu akiwemo huyo niliyemquote halafu pia hata wanaume msiochepuka bado mnapigia debe uchepukaji kwa sababu mnaona ni sahihi mwanaume kuchepuka!!
Kwani ni nani aliosema mwanaume kuchepuka sio sahihi..?
 
Back
Top Bottom