😁Hahaha"Unafunga au unakula apa apa?" Niweke kila kitu?
Acha umbea mtoto wa kiume.
Ahaaa kumbe ndio wewe ulivyokuwa unanipiga jicho hadi nikaona aibu kulishwa na mbebezi wangu..Kwani outing ww unataka iwe ya sh ngap.. Ndo uiite outing, Elf 10 hapo unapata chips yai 2 mishkaki 4 na soda, tena kwenye restaurant nzuri tu ya kawaida..bado usafiri wa bodaboda ukute mwanaume anagharamia, so maybe elf 20 inakata..
Huyo Mwanaume nlimsoma usoni, nikaona kama vile hana raha na hayo mahusiano, though bidada alijaribu kuwa romantic Kwa kumlisha chakula huyo mwanaume, lkn mwanaume alikataa kulishwa..
Nlivoona kisimu anachotumia huyo mwanaume, gharama anazotumia, na simu anayotumia mdada, nlibanwa na kicheko ila nlijizuia kucheka.. Hlf hapo hapo ikaja couple ingine kwenye restaurant, both of them walionekana happy na walioridhika na uhusiano wao cute b
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chura ipo?
Mimi bado nawashangaa wanaodhani kuwa huyo ni mwanamke hizi id hizi mara kule mwanaume anajiita Bikini mara huku mwanaume anajiita Cute Cindy kazi ipo
Right nowTrue kabisa halafu yule mdada aliyekisaidia kama kakusomesha kakugharamia kwa kila kitu hujui alijinyima mangapi ila wewe unaenda oa mwingine ambaye hajakugharamia chochote.
Halafu unaenda kudhania utamwoa hata na yeye atakuchuna nakukuacha kabisa na utabakia mtupu chote ulichosotewa na wazazi au yule mdada uliyemliza laana zao zote zitakupata na wala hutokaa uendelee acheni kuwa na roho mbaya wanaume wakileo kuweni na utu mioyoni mwenu.
Kabisa maisha ni utu mengine yanafuata.
[emoji15][emoji33][emoji33][emoji33]
Kuwa mwanamke raha, wanaume wengi sana wanatamani kuwa wanawake, basi tu.Mimi bado nawashangaa wanaodhani kuwa huyo ni mwanamke hizi id hizi mara kule mwanaume anajiita Bikini mara huku mwanaume anajiita Cute Cindy kazi ipo
Ndo maana mashoga ni wengi duniani kuliko wasagaji halafu wanavyojitutumua humu sasa kumbe hawana loloteKuwa mwanamke raha, wanaume wengi sana wanatamani kuwa wanawake, basi tu.
Ukaona sote hatuna maana eti??I stopped reading after "Unamtoa mdada outing ya tsh elf 10 "
Ndogo hiyo?? Mbona mnatudharau maskini????Outing ya chips mayai hii 😁
Usikubali mwanangu, mkomalie mpaka akubaliThat’s why unanikazia nisikutoe out na Elf 10 yangu si ndiyo Fresh tu.
Mawazo mgando, kifupi kila mmoja huwa na standard zake ukishasema outing ya tsh 10 bila shaka kila mmoja atapata picha ya hali ya kimaisha ya mwanaume huyo.Unamtoa mdada outing ya tsh elf 10 wakati wewe unatumia simu ya zamani ya Nokia ya tochi isiyo na cover la nyuma, ambayo betri imeshikiliwa na rubber band, hlf button zimeumuka..huyo mdada unaemtoa out ana simu ya screen touch..hii scenario mm nliiona live..
Unamsomesha chuo mdada uliekutana nae ukubwani wakati hela zako ni za mawazo, hujui anakuwazia nn na ana malengo gani na ww..unavosomesha mpenzi wako uliekutana nae ukubwani, huna ndugu zako wenye shida?
Unamjengea mwanamke nyumba, kwenye kiwanja chake, wakati wewe unaishi nyumba ya kupanga kama si ujinga huo ni nini? Eti Kwa kisingizio mtakuja kuishi wote kwenye hio nyumba, una uhakika gani?
Mnatafuta sifa kwa kugharamikia mambo makubwa kuliko uwezo wenu, hlf mkiachwa mnakuja kulalamika na kulia humu jf
Hahahahahahahaha, sijasema hivyo Mimi.Ukaona sote hatuna maana eti??
Acha hizo aisee. Yaani wewe 10k unaiona ndogo sana???Hivi wewe Cute Cindy unajua maana ya kumtoa mtu "outing"???
Ukiwa na 10,000 unamnunulia mtu chakula na sio Outing. Na pia sio hela ya mwanaume kutoa kwa ajili ya mwanamke na kuja kulia lia.
kama ni mtaji nimekupa mil 10.
60% ni yangu.
mambo ya mke na mume ni ndani sio kwenye biashara.
Hawa wadudu dawa yao gunia mbili za mkaa mana wanatuona sisi ni maboya kisa vipapuchi vyao. Afu akikupa kipapuchi chake anaona kakupa utajiri vipapuchi vyenyewe unakitafuna kinatoa harufu basi tu nature tumeumbwa lazima tuvipende