Wanaume wengi ni wajinga

Wanaume wengi ni wajinga

Unamtoa mdada outing ya tsh elf 10 wakati wewe unatumia simu ya zamani ya Nokia ya tochi isiyo na cover la nyuma, ambayo betri imeshikiliwa na rubber band, hlf button zimeumuka..huyo mdada unaemtoa out ana simu ya screen touch..hii scenario mm nliiona live..

Unamsomesha chuo mdada uliekutana nae ukubwani wakati hela zako ni za mawazo, hujui anakuwazia nn na ana malengo gani na ww..unavosomesha mpenzi wako uliekutana nae ukubwani, huna ndugu zako wenye shida?

Unamjengea mwanamke nyumba, kwenye kiwanja chake, wakati wewe unaishi nyumba ya kupanga kama si ujinga huo ni nini? Eti Kwa kisingizio mtakuja kuishi wote kwenye hio nyumba, una uhakika gani?

Mnatafuta sifa kwa kugharamikia mambo makubwa kuliko uwezo wenu, hlf mkiachwa mnakuja kulalamika na kulia humu jf
Dawa yako gunia 2 za mkaa na petrol 10L Bhaaaaasi!!!!
 
Kumbe ilikua hivyo!

Ni kweli kabisa...na mara nyingi tunaoona huo ujinga ni watu wa nje
Ndio ilikuwa hivyo uncle.

Mwanamke anayejielewa lazima aheshimu kidogo anachopewa na mpenzi wake haswa mpenzi ambaye anapata pesa katika mazingira magumu mno.


Tuchukulie mfano kuna mtu kwa siku anaingiza elfu kumi tu ,elfu 7 nzima akampa mpenzi wake yeye akabaki na elfu 3 tu ambayo elfu moja ya nauli yake ya kazini siku inayofuata elfu mbili kwa ajili ya chakula,

halafu kuna mwingine kwa siku anaingiza laki mbili ,elfu 30 akampa mpenzi wake yeye akabaki na laki moja na sabini ,kwa mwanamke asiyejielewa ataona huyu wa pili anampenda kwa dhati na anajua kuhudumia kuliko wa kwanza lakini ukichunguza kwa makini yule wa kwanza ndiye anayejua kuhudumia na kujali zaidi kuliko wa pili.
 
Utawalaumu sana wanaume. Mambo ya kuawawa kwa wanawake wengi wao wana midomo mirefu yaani unajibizana na mtu ambaye unajua hauna uwezo wa kumpiga halafu mpo wawili tu chumbani. Mumeo kashika simu kaona meseji za mapenzi au amekukosea lakini unajibizana naye. Unaanza kumtakana matusi makubwa makubwa mara mwanaume suruali wewe, mara kwani wakiitwa wanaume na wewe utapita mbele, hauna lolote, malaya mkubwa wewe, kwanza huyo mtoto siyo wako, ndiyo jana nilitomb*w unataka nini, tuachane (baada ya kupata ulichotaka), kwanza hunibabaishi kwa lolote n.k
Mwanamke ni kiumbe kinachothaminiwa sana na mwanaume ndiyo maana mwanamke anaweza kwenda mpaka Marekani asitumie shilingi yake. Unapoona mumeo kakushutumu au kakuudhi usijibizane naye hata kama ni kosa ni lake. Mjibu kwa upole na usimpandishie hata kama umemchoka au kosa ni lake. Hata kama alikuwa anataka kukupiga ataacha. Wanawake wengi wa sasa hawajui kuishi kwenye ndoa zao yaani yeye akigombana na mpenzi wake naye anaporomosha matusi makubwa mengine mpaka yanakera. Unamwambia mwenzako huyu siyo mtoto wako unategemea atakufanya nini wakati amemgharamia mtoto akiwa tumboni na wewe mpaka mtoto anafika miaka 6 lazima akufanye vibaya.
Kuna kisa kimoja cha jirani yetu yeye aliua mke na yeye kujiua. Huyu mwanamke aliolewa akiwa na watoto wawili kwahiyo baada ya kukutana na jamaa wakaanza maisha mpaka wakajenga na kupata watoto. Sasa kisa kilianza baada ya mwanamke kuanzisha biashara ya genge la chakula alipata pesa. Akaanza kujenga nyumba kisirisiri ili akimaliza ahame na ampige chini jamaa. Ikasemaka tena mwanamke alikuwa anatoka na mwanaume mwingine kwahiyo heshima ikashuka ndani. Usiku wa tukio usiku, mtoto anasema alisikia kama wanazozana ndani baba yake na mama yake baadae akasikia kimya. Kumbe mke alipigwa shoka ya kichwa na mwanaume akajinyonga kwa kamba. Asubuhi jamaa wakamkuta amekufa na mwanamke anapumua kwa shida. Wakampeleka bugando ICU baada ya siku akawa amefariki.
N.B
Mauaji mengi yanatokea pale mwanamke anapoanza naye kujibu mbovu. Mwanaume kakasirika anatukana naye mwanamke anapandisha anaanza kujibu mbovu mara huna jipya, tuachane, huyu mtoto siyo wako, kwani na wewe ni mwanaume katika wanaume, kwanza kitandani hujiwezi, tunakula nini hapa n.k Wanawake mtaendelea kuawawa sana. Ukiona mumeo kapandisha hasira chunga kinywa chako na kuwa mpole yaani jishushe uwe kama priton sababu hauna uwezo wa kumpiga halafu kibaya zaidi mpo wawili. Bora umtukane kwenye kundi la watu maana hapo kuna watu watakutetea.
HAKUNA MTU MWENYE HAKI YA KUTOA UHAI WA MWENZAKE
Wanaume katika utetezi wao sasa hao ni wale wanawake mlio waoa baada ya kumuacha yule aliyekusitiri ukaoa yule asiyekusitiri
 
Kabisa!

Anakuwa anafanya kwa mapenzi...kwa kidogo alichonacho anajaribu kumfanya mpenzi wake ajisikie na uspecial fulani

Umeongea point, kwa anaekupenda hata mkitoka out kwa buku mbili mkanunu maji ya buku buku anaridhika coz anaona jinsi unavyoonesha upendo na kumjali. Kitendo cha kutoka pamoja na kwenda kutulia sehemu tu ni faraja tosha kwa wapendanao.
Ila kwa madanga ujipange, coz wanapenda ufahari na kuonekana zaidi.
 
Wanaume katika utetezi wao sasa hao ni wale wanawake mlio waoa baada ya kumuacha yule aliyekusitiri ukaoa yule asiyekusitiri
Wote tuna makosa mbona kuna wanaume wamewasitiri wapenzi wao, wengine waliwachukua wakiwa choka mbaya mpaka wakamsomesha lakini walipomaliza na kupata kazi wakawaacha? Hiyo sentensi uliyoandika hata wanawake wanafanya sana.
Watu wote wangekuwa wanaswali hili kwenye vichwa vyao "Kama nafanyiwa mimi, nitajisikiaje?" Dunia ingekuwa salama sana.
Naona ukiona gunia za mkaa moyo wako unashituka sana. Leo nimeleta gunia 3 za mkaa nyumbani ila wifi yako naona kama ana wasi wasi maana kuna kipindi alinicheat nikamsamehe. Ngoja niende nipate bia mbili au 3 nione cha kufanya.
 
Wote tuna makosa mbona kuna wanaume wamewasitiri wapenzi wao, wengine waliwachukua wakiwa choka mbaya mpaka wakamsomesha lakini walipomaliza na kupata kazi wakawaacha? Hiyo sentensi uliyoandika hata wanawake wanafanya sana.
Watu wote wangekuwa wanaswali hili kwenye vichwa vyao "Kama nafanyiwa mimi, nitajisikiaje?" Dunia ingekuwa salama sana.
Naona ukiona gunia za mkaa moyo wako unashituka sana. Leo nimeleta gunia 3 za mkaa nyumbani ila wifi yako naona kama ana wasi wasi maana kuna kipindi alinicheat nikamsamehe. Ngoja niende nipate bia mbili au 3 nione cha kufanya.
Angalia usimkate shingo ukajinyonga .
Dawa ni rahisi naijua ya wanawake wanaotoka njee .
Wal sio kupiga
 
Angalia usimkate shingo ukajinyonga .
Dawa ni rahisi naijua ya wanawake wanaotoka njee .
Wal sio kupiga
Ha ha ha ha naona unaanza kumtetea mwenzako. Siwezi kujinyonga maana Tz ni kubwa sana naweza kuondoka na wasinikamate maana najua sehemu za kujificha. Watu waliompiga risasi Tundu Lissu hawajamakatwa mpaka leo, mimi ndiyo nikamatwe. Haitatokea
Hebu nipe hiyo dawa ya mwanamke anayetoka nje?
 
Siyo wote huwa tunakuja kulalamika huku.

Mume wa Naomi sidhani kama alikuja huku.

Hivi kama humtaki au huna malengo na mtu si unamtema mapema kabla hajaanza kuwekeza!

Huo ni ulaghai na kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu Ni jinai ila kwa kuwa hakuna sheria basi jungle Justice itawahusu sana.
😂😂"jungle justice" magunia ya mkaa sio
 
Back
Top Bottom