Inaonekana ana experience na kashachukia wanaume woote wa Tanzania
Ni kweli nakubali asilimia kubwa Wanaume ni wakandamizaji. Ajabu kabisa katika hili Mwanamke wa Kiafrika naye ukiwa mpole na Gentle ana kudharau mpaka unashangaa.Wanaume weusi kawaida kukandamiza wanawake mmezoea ila sasa hiv wanawake sio kama wa zamani
Yeye anasema wanaume wa kitanzania au wa kiafrika sawa. Hao wakizungu wanaoweza kufanya hui ujinga wako Nchi gani?
Huyu Dada ana mawazo mazuri lakini kwa hii ya leo amepotoka sana.
Anachukulia maisha poa sana.
Wanaume tunapata pesa na mali kwa hustle kubwa sana, zingine ni hatari kabisa ndio maana hatutakagi ujinga hata uende Marekani ni hivyo hivyo.
Mwaka hamtaki mwanamke , Wala anavyokamaa sio kwamba mwanamke arudi kwake kimapenzi.
Mwaka kaamua kukomesha tu, na huo ndio umwamba Kwa mwanamke mwenye ujanja ujanja
Nakubaliana na wewe unawasemea watu wengi.Nachukia tabia zenu za kuwakandamiza wanawake na kuwaona hawana thamani na hamna utu na pia tunayaona kwenye jamii wanawake wengi wanateswa mno kwenye ndoa,wachche mno walio na nafuu
Kiburi cha uzuri na mali kimeharibu mahusiano sanaHuyu dada anakuwaga na mawazo mazuri humu JF ila kwenye hili amenishangaza hasa pale alipotetea kuwa, huyo mwanamke ni mzuri hivyo mwaka akimpa talaka ataolewa tuu. Kiburi cha uzuri.
Uzuri tambia kwa wavulana sio wanaume.
Huyu dada anakuwaga na mawazo mazuri humu JF ila kwenye hili amenishangaza hasa pale alipotetea kuwa, huyo mwanamke ni mzuri hivyo mwaka akimpa talaka ataolewa tuu. Kiburi cha uzuri.
Uzuri tambia kwa wavulana sio wanaume.
Nakubaliana na wewe unawasemea watu wengi.
Na mimi nitaunga mkono kukemea ukatiri dhidi ya wanawake.
Dejane ,nadhan hatuelewan hapaKwanin ukomeshe kisa umeombwa talaka Yaan nyie mkitoa talaka sawa mkiombwa talaka kosa kaaa
Vinakuaje vyako peke yako wakati mwanamke nae nimshiriki katika utafutaji wa riziki.Ishi nami tumia vitu vyangu. achana nami acha na vitu vyangu..simple like that.
Sheria haipo hivyo
Vinakuaje vyako peke yako wakati mwanamke nae nimshiriki katika utafutaji wa riziki.
Mfano huyo mwanamke ameshiriki kuuza dawa zao hizo hivyo huwezi kumtenga kabisa na mafanikio.
Kwaufupi ukitaka kuachana na mwanamke jipange kuupitisha mgao wa mali
Kwa hiyo anapambania mali sio ndoa? Sheria inasema mje mtufanye mission na msepe?
Dada kwa hili umepuyanga. Hao wawili wanajuana wenyewe, ila kwa nje tunaweza kusema mengi ila sio kutupia lawama wanaume wala wanawake wote
Huyo mwanamke kama angekuwa amejijenga kwa vingi yeye kama yeye asingegombea nyumba ambayo hajaijenga
Sasa mpandisheni fikra ajitafute kuliko kumsifia mzuri mzuri kuwa ataolewa tena anaziba shimo la panya kwa mkate.
Hao hawawezi kuwa kioo cha kuakisi tabia za wanaume ila unalolitetea la kulilia nyumba ndio “mission” za wanawake wa kisasa na ndio maana wanaume wanakuja na very aggressive reaction….kuna uzi humu wa [mention]DeepPond [/mention]na mkewe kauchungulie.