Basi kwa anzia Leo Mungu aitwe Mungu mama na sio Mungu baba ili mfumo dume ufutikeAcheni mfumo dume
Nimeona ni huzuni japo hatujui siri ya nyumba nadhani mwaka ni aina ya Wanaume mwenye roho ya ubinafsi,chuki na kisasi.Anakera umeona yule dada anavyolia jamani
Nimeona ni huzuni japo hatujui siri ya nyumba nadhani mwaka ni aina ya Wanaume mwenye roho ya ubinafsi,chuki na kisasi.
Mkuu heshimu tamaduni zetu wazungu ni wapuuzi tu kama ulishawahi ishi nchi zao mtoto wakiume anamwambia baba yake amepata wakumzagamua ,hakuna wajinga kama wazungu nmeishi nao nawajua ata akili hawanaNasikia akikasirika tu hatoi pesa za matumiz anazira
Ila wanaume wengi wanapenda kunyenyekewa ile ya kiutumwa kabisa na hawajui thaman ya mwanamke acha mzungu awe mzungu ngozi nyeusi tabu sana
Mwaka ni aina ya Mwanaume akimuacha mwanamke anatamani apate tabu yaani apauke achakae kwa tabu.Nasikia akikasirika tu hatoi pesa za matumiz anazira
Ila wanaume wengi wanapenda kunyenyekewa ile ya kiutumwa kabisa na hawajui thaman ya mwanamke acha mzungu awe mzungu ngozi nyeusi tabu sana
Mrembo umeandika point nzuri.Kama Mwaka kataka mali zake Queen arudishe tu ama la na yeye angetafuta zake alivyokua kwenye ndoa. Haya mambo ya kufika ndoani unakaa tu unasukuma ndoto za mwenzako halafu usubiri kesho muachane udai kugawana mali. Queen angekua na maisha yake asingehangaika kuishi bila amani kisa nyumba. Kama suala ni watoto awarudishe kwa baba yao yeye akatafute maisha apate hela ajenge nyumba yake akae kwa amani.
Ila wanaume wakiachwa wanakuaga na hasira. Mwenzetu kavunja ndoa bila plan B na mwaka kajua pa kumkomeshea ni hapo kwenye mali zake.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Unataka kusema Tabibu Year hapigi mzigo? Kwahiyo Dawa zake hazitumii?mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.
Mkuu, labda kama anachokihofia ni kwa sababu za kidini, kwamba atakuwa anazini kwa kuwa na jamaa kabla ya talaka. Ila kama ni kwa sababu za kisheria, adhabu atayopata muoaji mpya ni kulipa fidia kwa mume halali, ambapo mtu kama unampenda unaweza tu kufanya, kwamba nitamuoa na kulipa hiyo fidia kama jamaa atadai.Na ndo mana
Lazima apewe talaka ili aolewe upya mana kisheria anakua bado mke wa mtu,we unaweza oa mwanamke mwenye ndoa?
Mwanamke chombo cha starehe lipi hujuiNachukia tabia zenu za kuwakandamiza wanawake na kuwaona hawana thamani na hamna utu na pia tunayaona kwenye jamii wanawake wengi wanateswa mno kwenye ndoa,wachche mno walio na nafuu
ni ushamba unawasumbua nimemuangalia dr mwaka nikasema sijui hao wanawake walipotea vipi kuwa nae anaonekana ni wa hovyo sanaMwanaume akikupa kitu anataka uwe mtumwa wake milele
Hawawez toa kitu aisee sijui waliumbwa na nani