Uzuri wa haya mambo unaweza kumwacha mtu ukidhani wewe ni mzuri sana. Ukashangaa huoleki tena mileleSasa mpandisheni fikra ajitafute kuliko kumsifia mzuri mzuri kuwa ataolewa tena anaziba shimo la panya kwa mkate.
Uzuri wa haya mambo unaweza kumwacha mtu ukidhani wewe ni mzuri sana. Ukashangaa huoleki tena mileleSasa mpandisheni fikra ajitafute kuliko kumsifia mzuri mzuri kuwa ataolewa tena anaziba shimo la panya kwa mkate.
Wengine wanaoa sababu ya NyegeLabda wewe tu mkuu,wako wanawake wema na wanakutana na ubaya wa mwanaume vilevile,
KImoja ujue sio kila mwanaume anaeoa anaoa akiwa tayari kuwa baba au kuwa mume na shida huanzia hapo
Mkuu labda kuna sababu za ziada zisizoongelewa jamani!Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?
Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.
Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
Wanaume wengine wanajua nin maan ya watoto hata akiachana na mke wake lkn wengine mhhhh.Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?
Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.
Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
Umesikiliza video yake ya jana?amesema kama kuna chochote mwaka anataka achukue yani mali yoyote ile ila amwachie watoto na amani ya moyo na ampe talaka yakeKama Mwaka kataka mali zake Queen arudishe tu ama la na yeye angetafuta zake alivyokua kwenye ndoa. Haya mambo ya kufika ndoani unakaa tu unasukuma ndoto za mwenzako halafu usubiri kesho muachane udai kugawana mali. Queen angekua na maisha yake asingehangaika kuishi bila amani kisa nyumba. Kama suala ni watoto awarudishe kwa baba yao yeye akatafute maisha apate hela ajenge nyumba yake akae kwa amani.
Ila wanaume wakiachwa wanakuaga na hasira. Mwenzetu kavunja ndoa bila plan B na mwaka kajua pa kumkomeshea ni hapo kwenye mali zake.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
unataka wakiachana huyo mwanamke amlete mwanaume mwingine wale ndoa kwenye nyumba ya mwakaNimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?
Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.
Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
kwani wakati unadai talaka c umejipanga wakaishi wapiKwani umpe kitu uvitake tena watoto wakaishi wapi ?msioe sasa
Sasa kama ana mtu na hataki mali yoyote wala matunzi ya watoto, si aishi tu na huyo mtu wake ili Mwaka ndio alalamikeUmesikiliza video yake ya jana?amesema kama kuna chochote mwaka anataka achukue yani mali yoyote ile ila amwachie watoto na amani ya moyo na ampe talaka yake
Sasa kama amekubali kuachia mali zote najiuliza kwanini mwaka bado hataki kutoa hiyo talaka?
Mimi nahisi huyu queen atakua kashapata mtu na mwaka anajua so anamkomesha ili asiolewe mana kuna wanaume wa hivyo yani mkiachana anataka uchakae,upauke inshort uteseke adi watu waseme bora ungebaki kwake!
Na ndo manaWengine wanaoa sababu ya Nyege
Lazima apewe talaka ili aolewe upya mana kisheria anakua bado mke wa mtu,we unaweza oa mwanamke mwenye ndoa?Sasa kama ana mtu na hataki mali yoyote wala matunzi ya watoto, si aishi tu na huyo mtu wake ili Mwaka ndio alalamike
Kwanini huyo mwanamke hakujenga nyumba yake? Yani nikupe nyumba kwa ajili ya papuchi?Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?
Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.
Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
KabisaNa ndani ya ubinafsi hakuna upendo
Bibie unaenda tofauti na dini/ imani za watu.Kabisa ukewenza uliletwa kumdidimiza mwanamke tu wanaume wanajiona wana mamlaka ya kila kitu
Iyo nyumba ilikua mali ya nani? Ukinyanyang'anywa nyumba basi wapeleke hao watoto wakaishi na baba yao wewe kajenge yako uendelee na maisha yako sio kusumbuana na ujinga wa child supportmwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?
Duniani hakuna cha bure ukipewa chochote kwenye mahusiano ujue unatakiwa kutoa utiifu na unyenyekevu in exchange hata ukifatilia mahusiano ya mwanamke mwenye pesa na mario hali ipo ivyo ivyo. Mkiachana rudisha kila kitu ulichopewa. Kama ni gari, nyumba, kiwanja rudisha kama umesomeshwa rudisha gharama zote zilizotumika kukusomesha. Simple like that.Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.
Kataa ndoa ewe mwanaume afya yako ya akili ni muhimu kuliko ndoaKifungu cha 63 kinatamka kwamba mume ana wajibu wa kumtunza mkewe kwa kumpa mahitaji yote muhimu katika maisha kama mavazi, chakula na malazi kulingana na uwezo wake. Mke pia atakuwa na wajibu huo ikiwa tu mume kwa sababu ya ugonjwa hawezi tena kufanya kazi yoyote. Na kama mume hatekelezi wajibu huo kwa makusudi mahakama chini ya kifungu cha 115 yaweza kumwamuru kutekeleza wajibu huo.
Dawa ya yote haya kataeni ndoa ibaki kuchakata tu kwa malipo baada ya kaziNachukia tabia zenu za kuwakandamiza wanawake na kuwaona hawana thamani na hamna utu na pia tunayaona kwenye jamii wanawake wengi wanateswa mno kwenye ndoa,wachche mno walio na nafuu
Mkuu labda kuna sababu za ziada zisizoongelewa jamani!
Kwani kushindwa kumlala mwanamke kwa mwaka mmoja na kukawa na mawasiliano ya udhuru, ndiyo inaweza kujenga chuki ya kuachana?
Kama shida ni hiyo, kwanini asingelikuwa anapanda ndege kwenda kuwajibika, akazembea mwaka kama jina lake!
Na baada ya kuonana na kuutimiza huo wajibu, chuki iliendelea?
Hapo nadhani kuna vijisababu vingine wanavificha, yaweza kuwa kuna limtu fisi maji linawavuruga kwa kurubuni.
Halafu Dr Mwaka naye!
Unaendaje kumpangia makazi nchi za ng'ambo mwanamke bado kijana mwenye sura ya mvuto, unategemea nani awe anamgonga?
Kulikuwa na faida gani kumsokomeza akaishi kisimbe ughaibuni?
Alishindwa kumtafutia maeneo ya karibu au kuendelea kulala nao wote kitanda kimoja kama alivyokuwa akifanya wanachekelea?
Tena kidogo awe role model wangu kwa kuona anafaidi sana maisha!
Wanawake wawili wa ndoa kitanda kimoja!
Raha sana kusema ukweli, sema kosa alilifanya kuwatawanyisha.
Ona sasa, kaanza kutumia kani kubwa kufosi penzi lililokwisha kusambaratika!
Ingelikuwa ndiye mimi, mbona jambo hilo ningelimaliza kabla hata halijajulikana!
Umesikiliza video yake ya jana?amesema kama kuna chochote mwaka anataka achukue yani mali yoyote ile ila amwachie watoto na amani ya moyo na ampe talaka yake
Sasa kama amekubali kuachia mali zote najiuliza kwanini mwaka bado hataki kutoa hiyo talaka?
Mimi nahisi huyu queen atakua kashapata mtu na mwaka anajua so anamkomesha ili asiolewe mana kuna wanaume wa hivyo yani mkiachana anataka uchakae,upauke inshort uteseke adi watu waseme bora ungebaki kwake!