Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,838
- 90,262
mkuu Robert Heriel Mtibeli , jinsi wanawake walivyo kiakili, je akikutaa alafu wewe mwanaume ukaamua kutomlazimisha, yaani baada ya yeye kukukataa ukaacha mawasiliano nae ukaendelea na maisha yako, hivi kitendo cha wewe kutomlazimisha huwa inamuuma mwanamke aliyekukataa ata kama tayari ana mwanaume wake?
Mkuu Mimi hiyo haitanihusu,
Alafu simkaushii ili nimuumize Bali kwa sababu naheshimu uamuzi wake