Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

Soo many ways to die.
40 pills of chloroquine.
Hunging by the tree.
Jumping from 12th floor building.
BUT I SOURTED MARRIAGE.
I hope u get me!
 
Hii kitu inanichanganya sana akili yangu.
Sijui kama wewe pia ulishafanya uchunguzi huu.
Kwamba katika ndoa wanaume hufa mapema kabla ya wanawake.
Ebu angalia list hii kisha nawe jenga hoja why wanaume kwanza wakati ndio kichwa cha familia?
1.Babangu mzazi alishatangulia mwaka 2010!!
2.Baba wa taifa kamuacha mama Maria.
3.Mzee karume!
4.Ditopile!
5.Kawawa!
6.Daudi Balal!
7.Dk Omary A Juma!
8.Sajuki!
9.Mafisango!
10.Vivian Foe!
 
Huu utafiti wako una ka ukweli kiasi flani,maana inasemekana hata sensa inaonyesha kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume.
 
11. Baaangu

12 - 13. Baba zangu wadogo

13 - 20. Baba za rafiki zangu

Duh.... Sijui kwanini... Wataalamu ngoja waje :confused: :confused:
 
khah... ukweli mkubwa sana hapa... hivi ni kwanini? au wababa wanafikiria sana? hivi mwajua pia eti wababa wakichaga wanakufa sna kuliko wamama hasa machame?
 
baba zao rafiki zangu wawili wa karibu kabisa..jirani zangu kule kwetu...kweli wanawake walofiwa na waume ni wengi kuliko wanaume walofiwa na wake
 
Hiyo dhana n yakweli, na baadhi ya visabishi ni kuwa wanaume wengi ktk familia ndo watu wa kuhangaila sna kutafuta,kujari na kufikiri zaid ambayo inamsababishia uchomvu na msongo wa mawazo, pili kwa kawaida wanaume ndo risk takers na aina ya kaz wazifanyazo mf: udereva,jeshin, police hta biashara na madaraka!
 
Back
Top Bottom