Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,932
- 34,916
Njooni wapo wa kumwaga kabisa. Bora salip tu maana vijana wengi wa huku hakuna mishe ya maana.Asante mkuu kwa kutuasa.Kwa hiyo sisi tunaotarajia kuacha mbegu huko unatushari Nini?.
Njooni wapo wa kumwaga kabisa. Bora salip tu maana vijana wengi wa huku hakuna mishe ya maana.Asante mkuu kwa kutuasa.Kwa hiyo sisi tunaotarajia kuacha mbegu huko unatushari Nini?.
Tatizo la ulevi lipo katika wilaya hiyo lakini sio kwa kiwango hicho.Hbr za jioni Wapendwa wana JF wenzangu??,Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kuwa Wilaya ya Rombo,mkoa wa Kilimanjaro kuna shida sana ya ulevi,hivyo kupelekea akina Baba kutowajibika vema ktk majukumu ya familia km Baba.
Leo katika kufuatilia kipindi cha RIPOTI MAALUMU kinacholetwa na ITV,nimeona jinsi ulevi ulivyokithiri huko Rombo ambapo akina mama wanalalamika kuwa Waume zao hawatimizi majukumu yao ktk familia,wamekuwa legelege,kazi za Kutumia nguvu hawawezi kuzifanya,Mama mmoja amesikika akisema kuwa hata mambo ya chumbani hawawezi tena (poor performance).
Mwanaume mmoja alipoulizwa kuhusu hali hiyo hususani kushindwa kuwahudumia wake zao Mambo ya ndoa,alijibu kuwa yeye hana muda wala interest na Mambo ya ndoa.
Bibi mmoja alipoulizwa kuhusu hali hiyo amesema anasikitika kwasababu kizazi hicho kinaelekea mwisho kwasababu Wanaume wanazidi kuisha huko Rombo hivyo itakuwa vigumu kupata watoto kutokana na ulevi uliopindukia.
Aidha Ktk mahojiano ya mwandishi na vijana wengi,imeonekana kuwa vijana wengi wa kiume wameachana na wake zao kutokana na ulevi hivyo Wanaume hao wanalelewa na mama zao, huku watoto wao wakiishi na wake zao.
My take: Vijana wa Kiume kutoka Mikoa mingine twendeni Rombo tukawasaidie Wanaume wenzetu walevi kuwahudumia wake zao ili kizazi cha Rombo kiwe endelevu.
Chanzo: RIPOTI MAALUMU-ITV
Kwa hiyo ITV ni waongo??.Tatizo la ulevi lipo katika wilaya hiyo lakini sio kwa kiwango hicho.
[emoji23][emoji23][emoji23],Tutachagua chagua tu mkuu.Eti muende rombo mkapate wanawake..
Wanawake wenyewe mmewaona kwanza? Kwa sasa wanawake rombo ndio wanaume
Key wordEti muende rombo mkapate wanawake..
Wanawake wenyewe mmewaona kwanza? Kwa sasa wanawake rombo ndio wanaume
Sawa Chifu, ngoja tutie magumu hapo.Tusiwape. Nafasi wakenya tusije pata damu za Kikenya.Njooni wapo wa kumwaga kabisa. Bora salip tu maana vijana wengi wa huku hakuna mishe ya maana.
[emoji23][emoji23][emoji23], Kwamba Rombo, Wanawake Wana sura ngumu??.Ngoja tuwaachie wakenya hizo pisi kali maana mademu zao wengi wana sura za baba zao......
Namaanisha mademu wa kikenya......[emoji23][emoji23][emoji23], Kwamba Rombo, Wanawake Wana sura ngumu??.
Wakenya wengi wanapenda kuja maeneo ya mipakani. Maana kwa pesa yao huku wanakunywa pombe nyingi kuliko kwaoSawa Chifu, ngoja tutie magumu hapo.Tusiwape. Nafasi wakenya tusije pata damu za Kikenya.
Asante mkuu,kwa kutuletea ramani,hii itatusaidia namna ya kufika huko, jambo inaonekana ni mbali.
Labda wale age go[emoji23][emoji23][emoji23],Tutachagua chagua tu mkuu.
OkNamaanisha mademu wa kikenya......
[emoji23][emoji23]Key word
WANAWAKE WENYEWE MMEWAONA KWANZA?
Ok.Wakija Bongo kwao Inakuwa kitonga.Wakenya wengi wanapenda kuja maeneo ya mipakani. Maana kwa pesa yao huku wanakunywa pombe nyingi kuliko kwao
Mkuu mbona Leo unanichekesha sanaEti muende rombo mkapate wanawake..
Wanawake wenyewe mmewaona kwanza? Kwa sasa wanawake rombo ndio wanaume
Na nini tena brooMkuu mbona Leo unanichekesha sana
Siku ITV wamekuja huku, hiyo ndio ilikuwa target yao walipita kwa DED akawaelekeza waje kwa WEO fulani hapa ambaye huko katani kwake ndio wanapika mpaka gongo akawapeleka huko wanakouza.Tatizo la ulevi lipo katika wilaya hiyo lakini sio kwa kiwango hicho.
frHbr za jioni Wapendwa wana JF wenzangu??,Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kuwa Wilaya ya Rombo,mkoa wa Kilimanjaro kuna shida sana ya ulevi,hivyo kupelekea akina Baba kutowajibika vema ktk majukumu ya familia km Baba.
Leo katika kufuatilia kipindi cha RIPOTI MAALUMU kinacholetwa na ITV,nimeona jinsi ulevi ulivyokithiri huko Rombo ambapo akina mama wanalalamika kuwa Waume zao hawatimizi majukumu yao ktk familia,wamekuwa legelege,kazi za Kutumia nguvu hawawezi kuzifanya,Mama mmoja amesikika akisema kuwa hata mambo ya chumbani hawawezi tena (poor performance).
Mwanaume mmoja alipoulizwa kuhusu hali hiyo hususani kushindwa kuwahudumia wake zao Mambo ya ndoa,alijibu kuwa yeye hana muda wala interest na Mambo ya ndoa.
Bibi mmoja alipoulizwa kuhusu hali hiyo amesema anasikitika kwasababu kizazi hicho kinaelekea mwisho kwasababu Wanaume wanazidi kuisha huko Rombo hivyo itakuwa vigumu kupata watoto kutokana na ulevi uliopindukia.
Aidha Ktk mahojiano ya mwandishi na vijana wengi,imeonekana kuwa vijana wengi wa kiume wameachana na wake zao kutokana na ulevi hivyo Wanaume hao wanalelewa na mama zao, huku watoto wao wakiishi na wake zao.
frusa iko afgasntani wenze rwanda wana changamkia frusa tukaangaike rombo huyu mama nae frusa nyingi zina tupita wadada wa afgasintan hawna pa kwenda
My take: Vijana wa Kiume kutoka Mikoa mingine twendeni Rombo tukawasaidie Wanaume wenzetu walevi kuwahudumia wake zao ili kizazi cha Rombo kiwe endelevu.
Chanzo: RIPOTI MAALUMU-ITV