Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

smtym sio kuogopa kuyatumia mkuu...we live in a world where if u turn too soft u may be taken advantage of au kushindwa kufikia malengo yako...ndo mana some girls tend to adapt masculinity,...
It's quite tricky being totally a feminine woman and fully professional esp kwenye mazingira ambayo ni male dominated

Badiebey what you need is to balance na ndo mtihani mkubwa unapokuja hapo. Wengi wanashindwa kujua kofia ya ofisini anaivulia getini so akofika home awe Mama. Kumbuka historia. Adam aliishi pekee ktk bustani akawa mpweke ndipo akaona si busara kuwa pekee yake. Akamfanyia mtu wa kufanana naye ili awe msaidizi na sio mshindani mwenza.

Tukiweza kurudi hapo mbona mambo yatakuwa ni poa tu.
Kumsaidia mtu ni kum guide pale unapoona anapotoka. Lakini si lazima afuate kila kitu unachotaka. Sometimes tunajifunza mengi kupitia failures...
 
Wahoji vzr utajua 7bu zao.... kisha rekebisha
 
The Boss tone ina mata sana ktk maongezi. Pia hayo maneno kwa wenzetu kule walikotangulia wanayaita magic words. Yanaweza kubadilisha ambience yote. Sasa hawa dada zetu wanajisikia vibaya kuyatumia especially anapohisi anamzidi mwanaume intelligence au vinginevyo. (Samahani nimetumia cocktail language).

No need ya thamahani mkuu u real real make point aisee ujue vitu vidogo sana vinampa au kumshushia MTU/mwenza credit au value yake
Kwa mfano with reference to the story waume za watu wanamuaproach bint wameshamuona kama kipoozeo(I bet kadhaa washasuza lungu kwa mdada) n she never learn a lesson
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Bila shaka wewe ni bonge la mtu,
yaani una mwili mkubwa so wanaume wana assume wewe ni mbabe...

Kuwa mpole,mnyenyekevu utatongozwa sana..
 
Natumaini wengi wa wanaokuambia hivyo ni watu wasiokujua kwa undani. Kwa hiyo wanakuperceive kwa first impression au reception unayowapa. Ni hapa kwenye reception yako ndipo kwenye tatizo na unatakiwa upaangalie. Vile vile fanyia kazi how you argue your talks, hapa namaanisha kuwa na msimamo lakini usidictate conversation. Try to be humble unapotoa hoja zako, dont raise your voice too much na try to see everything in a positive lens (kuna watu wapo negative kwenye kila kitu, bila kuweka ligi ya ubishi hajiskii sawa). Angalia pia dressing yako, epuka mavazi yanayokutoa kiume sana. Morphology yako inatakiwa ikuambie uvaaje uonekane sexy, attractive and romantic ili kuaffect ile first impression. Lakini pia, cheki na mood zako, inawezekana mara nyingi unaonekana upo moodless na watu wanatafsiri kuwa umenuna au mkorofi.
 
nani anapenda kuoa ashangedele?
Tangu lini demu akawa msela?
Na usipojilekebisha utaishia kutafuta mashine ili ukasage.

Hahaha Apa Kina Salama Jabiri Waki Kazana Na Iyo Fansheni Wata Ishia Uko Kusaga Na Kukoboa,
Ahaa Mashne Zipo Kila Aina Saivi?
 
Stop being the victim of your own, make a smile your daily principle, be humble and honest and this will reward your life amazingly
 
Napenda mwanamke wa dzain kama yako,ila na mm ndo sijabahatkaga,napenda makauzu kama ww @@frorence ungenifaa sana kwny biashara.ila ngoja niendelee ku match ntaja pata wa kusimamia.
 
hahah umeona ehh,,mi nimegundua men wanapenda kudekewa sanaaa...basi hapo atataka akubebe tu ,ila raha sana yani

hawajiulizi kwa nini ukipata mtoto wa kike akawa anadeka yupo karibu sana na baba... mwanamke deko ukauzu ofisini
 
^^
Ni kawaida ya kundi la aina yenu, nje mnajiamini, nje mna nguvu, nje mnajiweza, nje mnazidi sifa za baadhi ya wanaume! Ndani mnaumia, mna upendo, mnahitaji kufarijiwa, mnapenda kujitoa kwa dhati na kwa hiari, Lakini wanaume wanaojua siri yenu hii hamkutani nao sana!
Sasa, vaa tabasamu, ondoa mikunjo ya uso, tembea na ufunguo wa kuyaona mambo ni mepesi ! Azima sauti ya kawaida! Be simple!
Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke aliyekama mwanaume! Make a femine revolution inside yourself. Your a beautiful woman trust me.
(oo! Sorry kumbe hii ni thread ya wanasaikolojia, yachukulie hayo maneno ya mlevi tu)
^^

Nice comment. Hii ndo hali halisi
 
unafanya shughuli gani? huwa unafanya mazoezi? umewahi kupitia paramilitary training yeyote? ujue kuna itu vunatu-shape bila ya sisi wenyewe kujua! florence

hapana sijapitia huko
 
Last edited by a moderator:
smtym sio kuogopa kuyatumia mkuu...we live in a world where if u turn too soft u may be taken advantage of au kushindwa kufikia malengo yako...ndo mana some girls tend to adapt masculinity,...
It's quite tricky being totally a feminine woman and fully professional esp kwenye mazingira ambayo ni male dominated

Aonje taste of her own medicine sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom