Mbona povu bibie ilhali wewe ndo umeacha?Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Munguhalafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona
kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii
halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
![]()
Unaweweseka na kutapatapa kulikoni?!
Sent using Jamii Forums mobile app

halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia