Wanaume wanahangaika sana

Wanaume wanahangaika sana

Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Ahahhhahh nimejikuta nacheka tu!!!

Eeh embu tuambie ulijuaje kama kakubrok?!!!

Haki, utoto ni raha sana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Hamna kitu apa
 
We umemuacha mwanaume au umewaacha wanaume.. usi tu include wengine kwenye huu upuuzi

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Kinachokuumiza hata sio ubaya wake bali ni wivu,ukiamini huyo new girl hakustahili kuwa na jamaa yako either kwa sabab anapata vitu ambavyo yawezekana ww ulivikosa au hukuvipata...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Huyo jamaa itakuwa anafaidi sana maana madem ambao wapo simple simple wanakuwaga watamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelewa mambo miwili ya muhimu sana kwenye hili bandiko lako....
1. Unaumizwa na kila unapo muona mwanaume mlie achana akiwa na mdada mwingine.
2. Hili ni tangazo tosha kwetu sisi wanaume wenye uzowefu kwenye makatiko/mahusiano kwamba, sasa hivi tunapaswa tujuwe kwamba upo single.
Non of the above. Halafu siko single nimeamua tu watu wasijuwe. Tumekuwa kwa relationship for 3 yrs halafu hata miezi haijaisha nionekane na mtu mwingine haha hell no watu watani badilisha jina bure halafu siko tayari kuitwa hayo majina ndio maana nimekaa kimya
 
Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu 😂😂 halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona 😂😂 kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii 😅 halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia 😉
ulio wimbo wa taka taka wa kenya uliopigwa marufuku unakuhusu kabisa
 
Mkuu....
Kwa hii comments ndio haswaaaa umedhihirisha na kuyaonyesha maumivu yako kwa uwazi kabisa.
Tena naona umetuongezea na lingine la kupotezewa muda kwa muda wa miaka mitatu na mwisho sasa unaona aibu kuwa na mtu mwingine kwasababu eti utaitwa malaya, na mbaya zaidi unaonekana kama sasa unaishi kwa kuhofia eti watu wana/watasema nini
Non of the above. Halafu siko single nimeamua tu watu wasijuwe. Tumekuwa kwa relationship for 3 yrs halafu hata miezi haijaisha nionekane na mtu mwingine haha hell no watu watani badilisha jina bure halafu siko tayari kuitwa hayo majina ndio maana nimekaa kimya
 
Mkuu.... kama tayari umesha achana na mtu, kwani unapata nini ama unamthaminisha ili iweje...!!?? Then baada ya hapo ili nini kiwe...!!??
Kimsingi ukimuona yeyote mwenye bado anamfuatilia ex wake, basi ujue huyo mtu bado anamaumivu
Mmmmh mm na bisha unaweza ukawa haumii ila tu unataka umthaminishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom