Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,446
Sasa ujumbe ni wangu au wa ex wako?Situmii fb nimeweka humu ili na wewe kama uko na tabia za hivi uache unajiaibisha Bure
Isije kuwa unatutangazia soko, ngoja tuje sasa
Sasa ujumbe ni wangu au wa ex wako?Situmii fb nimeweka humu ili na wewe kama uko na tabia za hivi uache unajiaibisha Bure
Ahahhhahh nimejikuta nacheka tu!!!Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
Hamna kitu apaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Munguhalafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona
kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii
halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
![]()
Hivi nyinyi mnaosema ni wivu sasa hapa wivu unatokea wapi? Au nilivyosema?Wivu ni kidonda, ukishiriki utakonda.
Hahaha umemuuliza swali nzuri mno 😀😀😀😀Ahahhhahh nimejikuta nacheka tu!!!
Eeh embu tuambie ulijuaje kama kakubrok?!!!
Haki, utoto ni raha sana!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume hasuswagi.Inaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha umemuuliza swali nzuri mno![]()
Kudanga ndio nini?Huyo unayemuona mbaya Mungu atajalia ataolewa wewe endelea kudanga.
Huyo jamaa itakuwa anafaidi sana maana madem ambao wapo simple simple wanakuwaga watamu sanaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Munguhalafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona
kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii
halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
![]()
Non of the above. Halafu siko single nimeamua tu watu wasijuwe. Tumekuwa kwa relationship for 3 yrs halafu hata miezi haijaisha nionekane na mtu mwingine haha hell no watu watani badilisha jina bure halafu siko tayari kuitwa hayo majina ndio maana nimekaa kimyaNimeelewa mambo miwili ya muhimu sana kwenye hili bandiko lako....
1. Unaumizwa na kila unapo muona mwanaume mlie achana akiwa na mdada mwingine.
2. Hili ni tangazo tosha kwetu sisi wanaume wenye uzowefu kwenye makatiko/mahusiano kwamba, sasa hivi tunapaswa tujuwe kwamba upo single.
Mmmmh mm na bisha unaweza ukawa haumii ila tu unataka umthaminisheInaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
ulio wimbo wa taka taka wa kenya uliopigwa marufuku unakuhusu kabisaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu 😂😂 halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona 😂😂 kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii 😅 halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia 😉
Non of the above. Halafu siko single nimeamua tu watu wasijuwe. Tumekuwa kwa relationship for 3 yrs halafu hata miezi haijaisha nionekane na mtu mwingine haha hell no watu watani badilisha jina bure halafu siko tayari kuitwa hayo majina ndio maana nimekaa kimya
Yeye ndio anaeteseka mpka anataka kuwa recognizedmpaka umekuja kufungua uzii.. kama wewe ndio unateseka hivi..
Hujawahi niangusha.Inaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app



Umthaminishe wa nini, anakuhusu niniMmmmh mm na bisha unaweza ukawa haumii ila tu unataka umthaminishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh mm na bisha unaweza ukawa haumii ila tu unataka umthaminishe
Sent using Jamii Forums mobile app