Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,206
- 2,949
Mwanamke kiumbe ambaye alikuja duniani sisi wanaume tukiwa katika usingizi mzito, sijui alifundishwa kitu gani wakati tumelala
Kabisa hasa kakiwa na ile harufu yake asili ukiisikia/kuinusa lazima akili za kiume zihame kabisa.Amini amini nakwambia, kale kadude kana ondoa kabisa akili za wanaume.
Dah ni noma sanaNadhani ni vigumu sana kuuelewa huu msemo. Lakini ukweli ndio huo, WANAWAKE kabla hawajaingia mapenzini, hupiga Hesabu kali huku wakijifanya malonya kumbe wewe mwanaume ndio boya.
Hebu jiulize huyo mwanamke uliyekuwa naye, ulimpata kwa ujuzi na mbinu zako au alikuonea huruma? Unajuaje kama hujajiingiza mtegoni mwenyewe? Muulize ni mstari gani Kati ya ile mingi niliyokupigisha saundi mvua ndio ulikuingia zaidi hadi ukanikubali?
Mwanamke ana jicho kali sana, anaweza kuku zooom kisha akayaona maisha yako ya miaka miwili ijayo. Hapa ndio unakuta demu mkali kuliko Pisi kali amemzimia MSELA WA MANZESE, halafu anasema nakupenda jinsi ulivyo, kumbe anaipenda ile green pasture anayoiona siku za usoni.
Rest in Eternal Peace Pius Ng'wandu
Aaah swala la kudindisha inategemeana na jinsi yako ila kwa sisi wanaume ni kawaida akikaa Uchi itaenda juu tu,ila kwa vile wewe umesema mtu pekee maybe hauna upande wowote au unafanana nao!Lakin Mimi ni mtu pekee ambaye mwanamke hawez ni control.......ata akikaa uchi nikiamua siwez dindisha
Urijali mateso aiseeeKabisa hasa kakiwa na ile harufu yake asili ukiisikia/kuinusa lazima akili za kiume zihame kabisa.
Kwema Sana, ngomwike mwisyughu nali kumyituKabisa
Vipi kwema lakini mkuu
Hahahaha..kweli ni mtu pekee huyu jamaa.Aaah swala la kudindisha inategemeana na jinsi yako ila kwa sisi wanaume ni kawaida akikaa Uchi itaenda juu tu,ila kwa vile wewe umesema mtu pekee maybe hauna upande wowote au unafanana nao!
Vizuri sana kama ni kwemaKwema Sana, ngomwike mwisyughu nali kumyitu
EsperantoVizuri sana kama ni kwema
Nimepita kapa sijaelewa hicho kilugha gani mkuu?
Wewe ndio mkate, usitujumuishe woteBjbj, wanaume kwa mwanamke ni kama mkate mbele ya chai.
Samson mbabe wa dunia, aliangushwa na mwanamke.
Suleiman na hekima zake zote aliangushwa na WANAWAKE.
Bila akili mwanamke anakuangusha ndani ya sekunde sita na nusu
Yawapasa kuishi nao kwa akili.Endeleeni kuwaita viumbe dhaifu
Nabii Adam alitolewa peponi na mwanamkeBjbj, wanaume kwa mwanamke ni kama mkate mbele ya chai.
Samson mbabe wa dunia, aliangushwa na mwanamke.
Suleiman na hekima zake zote aliangushwa na WANAWAKE.
Bila akili mwanamke anakuangusha ndani ya sekunde sita na nusu
Hahaaaahaha mwanaume mwenye damu nyekundu hawezi kukwepa mkuu hilo jambo kirahisiHahahaha..kweli ni mtu pekee huyu jamaa.
Mimi hata nikiona chupi zinauzwa dukani huwa napiga picha moja matata sana pale papuchi inapokaa.
Huwa najikuta kitu inasoma mlemle
Kwamba anafanana nao
Hivi unajua mbunye zinaondoa akili?Yawapasa kuishi nao kwa akili.
Yawapasa kuishi nao kwa akili.
Halafu ana uwezo mkubwa sana aiseeee.... Hadi wa kuongea na majokaMwanamke kiumbe ambaye alikuja duniani sisi wanaume tukiwa katika usingizi mzito, sijui alifundishwa kitu gani wakati tumelala