Mr noble
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 623
- 550
Sema nn utanitag ili namm ikifika the end niongeze listKesho jomoni
Sema nn utanitag ili namm ikifika the end niongeze listKesho jomoni
List bado ndefu mkuu tuliaHuyu wa mwisho mbona kama ni matango pori,maana ulisha leta hapa ukasema anamihela ila hukumzungumzia kama hivi?
Tatu asubuh Itapendezaaaaaaaa
sio SAA 1asbh inikutie huko jomoniiiDunianiHaya yalitokea wapi?
Kuna jamaa mmoja humu jf anamzimia sana miss, lakini huwa ananiambia kwamba..... miss ni sawa na saa mbovu, maana hachelewi kuja kuanzisha uzi humu....Wanaume wanakuogopa kwa sababu ya hali yako ya uchumi ipo njema...
Usiulize nimejuaje...
Cc: mahondaw

AthanteerPoyeee mpendwa
Kuna jamaa mmoja humu jf anamzimia sana miss, lakini huwa ananiambia kwamba..... miss ni sawa na saa mbovu, maana hachelewi kuja kuanzisha uzi humu....![]()
![]()
![]()



Nisawaaa tuuuu njooo basi ijumaa jioni !!.![]()
![]()
sio SAA 1asbh inikutie huko jomoniii
Umenikumbusha dada mmoja aliyemkataa mchumbahuyu jamaa alinipenda saaana toka namaliza chuo . nilikuwa namringia maana aliishia la saba . nikamuacha nikadate watu wengine nikateswa huko weee nakuja kumrudia kwenda kupimana HIV .kumbe alishapata .ameoa mwaka jana mdada mzuri hatare halafu ananirushia vijembe sana yule dada maskini hajui mwenzake nilimuachia msala pale .huyo dada ni rafiki yangu sana . sijawai mwambia mtu yoyote kwamba jamaa ni muathirika ni siri yangu na yeye na dokta alietupima .ananiheshimu sana jamaa maana namtunzia siri yake .ila mkewe anaona kanikomoa eti niliachwa nyooo aaachwe nani .ngoja aanze kuisoma namba
naombeni muwe watulivu jamani acheni matusi kunihukumu ni mwishoni
Wee utakua jirani ya yangu, usharudi Miss malizia basiUmeme umekata my keshoo
Kwetu badoWee utakua jirani ya yangu, usharudi Miss malizia basi
Umeambiwa ni mshirikina.....,pilafYaani una ahirisha kuolewa simply because nyumbani kwa mwanaume ni kuchafu? You are not serious Madame, sure I'm telling you. Subiri uje umuone mwanamke mwenzako anayejua umuhimu wa Mume atakavyo mbadilisha hadi utashangaa na roho yako! Ndio tatizo la mabinti wa siku hizi za mwisho
Duhh.....alinitomba wapi wakati tunaingia room tulifukuzwa na jeshi la mbu?
Acha uchocheziWanaume wengi wasafi kwa nje ukienda ndani ndiyo utajua utanashati wake.
Mkuu vipi boxer na singlend aliyovaa siku hiyo, zilikuwa safiii?!!
Najua hayajatokea Mwezini au juani.Duniani
Achana nao waropokajiUmeambiwa ni mshirikina.....,pilaf
Hujalala?Tabia Ni kama ngozi haibadikiki