Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com
Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com
What is this now?
What is this now?
Jamaniiii!!!!!hii style sijui kama utafanikiwa
Miaka 24 unalalamika umetendwa!!! ukifika miaka 35 si ndio unaweza kujinyonga kabisa...
Tatizo visichana vya miaka hii mnapenda sana kujirahisisha wakati fikra zenu bado hazijakomaa...
Tupo bwana usimkatishe tamaa ila sijajua anataka wakweli au waaminifu kama ni ukweli tu asipate shidaKwa style hii utatendwa sana tu,kuwa makini.
Btw wanaume wakweli wapo kuwa na subira tu.