Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,276
- 108,280
Hivi baba upo? naona umenisahau kabisa wewe na mama
Wewe si huwa unaletwa JF na mafuriko!!!
Mzima lakini weye?
Hivi baba upo? naona umenisahau kabisa wewe na mama
Wa ukweli tupo sana ni wewe tu,tatzo uliyekuwa naye hata ukimkuta na mwanamke mwingine alisema ni dada yake sie wengine hatujui kuongopa kwakweliMm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com
What is this now?
Ndo kaliweka kiaina si unaona katupia na ka email kake,kama alikuwa anahitaji kujua kama wanaume wakweli wapo angesikiliza wadau wanasemaje naona anataka kuprove mwenyeweungeweka bandiko la kutafuta mchumba
ungekuwa hujatamani kupendwa kweli ungeweka hili bandiko!!!!!!
nikutakie kila la kheri mamito
Hamna shost waaminifu wengi wao ni manyang'au! Kaa chonjoo! Itakula kwako
mimi ni mkweli kama uko tayari hadi sasa nina wake watatu na watoto 12 nina miaka 34