Wanaume wakwel wapo jamani

Wanaume wakwel wapo jamani

Watch out bi dada, cku izi wanaume hawaangalii uzuri wako,mapaja wala tweets unazotupia kwenye social networks,pumba unazopost kila kukicha,wanachoangalia.....je ww n wife material? una sound wise? au majanga tu! Jidanganye mjini sura kijijin tabia... utaishia kucheza kwaito kwenye wedding za mwenzako mpaka miguu iote sugu...
 
Watch out bi dada, cku izi wanaume hawaangalii uzuri wako,mapaja wala tweets unazotupia kwenye social networks,pumba unazopost kila kukicha,wanachoangalia.....je ww n wife material? una sound wise? au majanga tu! Jidanganye mjini sura kijijin tabia... utaishia kucheza kwaito kwenye wedding za mwenzako mpaka miguu iote sugu...


Mkuu umesema kweli tupu. Kuna mmoja mimi namuonaga kazi kuangalia picha za shughuli za wenzake tu kwenye mitandao yeye miaka inasonga tu yupo hapo hapo na kuwadharau wanaume.
 
Watch out bi dada, cku izi wanaume hawaangalii uzuri wako,mapaja wala tweets unazotupia kwenye social networks,pumba unazopost kila kukicha,wanachoangalia.....je ww n wife material? una sound wise? au majanga tu! Jidanganye mjini sura kijijin tabia... utaishia kucheza kwaito kwenye wedding za mwenzako mpaka miguu iote sugu...

Alafu wanadanganyka sana na hii"mi mzr ntapata tu hsband". Ngasutuka cku hzi ,watacheza kwaito kwa wedng za wenzao na sura zao sana tu.
 
Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com
Usichoke,Mungu atakupa unayemhtaji.
Amini pia,wanaume wa kweli wapo,mimi pia ni mmojawapo lakini tayari ninaye ubavu pili,ninampenda&ananpenda sana.
Na huyu ndye wa kwanza na wa mwisho ktk maisha yngu ya mahusiono.
 
Wewe dada umuombe Mungu akusaidie kama unataka mume wa kukuoa,ila kama tabia yako ni hiyo utachezewa,watafunua na kufunika sana na utaongezea hizo stress zako za kuachwa/kutendwa.
 
^^
Wanaume wakweli wapo, japo ni wachache kutokana na mfumo wa mapenzi usivyotabirika.
Kama kuna silaha za kukusaidia ni kuwa mtulivu na kumuomba Mungu tu
^^
 
Wanaume wakweli, wakoje jamani?? Niliacha kusoma nikakimbilia maliwatoni kujichunguza. Mbona najiona kuwa mwanaume kweli? Au ulimaanisha mwaminifu?? Huyo alikutenda nini au alikuwa mnalala kama godoro na kitanda kila kimoja kwa nafasi yake na kazi yake tu. Yaani miaka 2 mlikuwa mnajaza choo tu. Funguka tukusaidie bidada
 
Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com

A man must provoke God to action whenever he is in need; and a woman must provoke a man to action when she is in need. Mwanamke akiachika ni kwa matatizo yake mwenyewe ya kutozingatia ukweli huu; she must emit a ray of correct waveleng to provoke a man to action. Kama mwanamke hafanyi lolote kuchangamsha moyo wa mwanaume hataambulia chochote. Na kama tayari umeshaachika utaendelea kuachika bila kujalisha ni mwanaume gani kwani tatizo ni wewe mwenyewe.
 
wapo mwaya asikudanganye mtu...ni hapo uliangukia pabaya mwanzo, ila sali sana utsmpata tu..na uamini kuwa likuepukalo lina kheri na wewe.
 
Are u sure ov ur say...! huo udhaifu uliokufanya utendwe kwa mmeo ulshaujua na kuufanyia kaz? tuambie bibie!,
Ven myself am in the racing of getting a lady bt who's in virginity zone.
 
Umeonaeh! b carful utakuwa kam mbuz alyepotelea kwnye mahakama ya fis na utakuwa m2 wa kupgwa danadana kama haujuw matapel wapo kwajl yako,Piga got mweleze MUNGU shda zako zote atakujbu"MME MWEMA ANATOKA KWA BWANA"
 
Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com

Yaani huna hata siku 10 tangu ujiunge JF ghafla umekuja na bandiko la kutafuta mwanaume? You must be a professional hunter. Hapo kwenye red; kama hujatamani kupenda toka utendwe hili ombi la nini? Btw how old are? Isije ikawa ni haya mamulogo yanasumbua jamvi.
 
Mm nimetendwa miaka miwil iliopita had leo cjatamani kupenda tena nauliza hivi wanaume wako aumabibi zetu ndo walifaidi kama yuko mkwel namuhitaji me mkristo.umbo la kimisi miaka 24.my email agsam878@gmail.com

Nahisi aliyekutenda ulimpata FB, huyu unayemtafuta JF, atakuzima kabisaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom