Wanaume wakurya!

Wanaume wakurya!

Tulip1005

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
38
Reaction score
11
Habari ndugu zangu!!
Naomba mnijuze sifa/tabia(nzuri na mbaya) za wanaume wa kabila la wakurya!
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!
Nimependa Namba 6.
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!
Pot umemariza kira kitu mura,hakuna nyongesa kabhisaaaa,rakini sasa muraaa! demu mwenyewe anajua kubhika kichuri kweri!!!
 
Hawajui kuongea kiswahili vzr,na most of them ni soldiers.
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!

Huwa wengi wao wana group decision-making pia, hupenda kuwa kwenye company na mara nyingi maamuzi ya mmoja wa wana company ni zao la company yao nzima na mtizamo wa kundi zima,
 
Ungetuelezea zaidi ni mkurya kwa baba pekee? Au ni original mkurya yani baba na mama. Na ni wa uzalio wa dot.com au miaka ya 70th,60th

Uzuri:
cha kuongeza si wote wanapiga au wakali..... ila Iko damuni usijaribu kuitibua...!:nono:
Wana umoja kwa kweli, yani as long ur mkurya wanakuchuKulia Kama ndugu.


Ubaya
Most of them wameoa wake wawili. Wale wa zamani. Wanasema ni culture!
Kama ni msabato jiandae kuwa msabato, haina kuuliza kabisa hii.
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!

Hapo penye red ni kwamba wanajua kuoa, hawajui kuacha kabisa labda kwa amri ya mahakama vinginevyo hadi kifo kiwatenganishe, yaani hata mke akiondoka na kutokomea kusikojulikana ili mradi yu hai bado ni mke harari wa ndoa na hata ukazaa watoto wangapi huko uliko nje ya ndoa still watapokelewa kwa mtindo ule wa kitanda hakizai haramu.
 
Habari ndugu zangu!!
Naomba mnijuze sifa/tabia(nzuri na mbaya) za wanaume wa kabila la wakurya!

vita ni vita mura.......... wako firm on issues na hawataki masiala.
ukiwasaliti wakakukamata you are in for it.
sometimes wanakuwaga wapole si wazungumzaji hata wakiudhiwa lakini siku wakiamua funguka jua kichapo kitatembea kuzidi cha mwembe chai.
 
Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI

HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.

Motachambe!!!!

umeniwacha hoi vibaya
 
Back
Top Bottom