The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Leo mtatupaka matope humu mpaka basi.....ngoja niendelee kufuatilia....
Avatar yako inaniacha hoi kweliNapenda ningekuwa mkuryaLeo mtatupaka matope humu mpaka basi.....ngoja niendelee kufuatilia....
Pot umemariza kira kitu mura,hakuna nyongesa kabhisaaaa,rakini sasa muraaa! demu mwenyewe anajua kubhika kichuri kweri!!!
He he he, usimtishe
Kudundwa suna, na kupika ugali wa mtama
Pilau, ndizi nyama ni snacks
Sichachua kama anaweza kutengeneza gichuri na kukamua ching'ombe
Ungetuelezea zaidi ni mkurya kwa baba pekee? Au ni original mkurya yani baba na mama. Na ni wa uzalio wa dot.com au miaka ya 70th,60th
Uzuri:
cha kuongeza si wote wanapiga au wakali..... ila Iko damuni usijaribu kuitibua...!:nono:
Wana umoja kwa kweli, yani as long ur mkurya wanakuchuKulia Kama ndugu.
Ubaya
Most of them wameoa wake wawili. Wale wa zamani. Wanasema ni culture!
Kama ni msabato jiandae kuwa msabato, haina kuuliza kabisa hii.
sis ban htna tatzo weny mtatzo ni wale wvta bang mfano mi elimu yangu ni degree holder ciwz mpiga mke wangu maake mechangamna na makabila meng inkwa nasom na kjfnz vtu ving xna
Mura Mwita, unabhita kwenda wabhi? Kucha habha mura utowe mawaso yako.Napita wadau nitarudi baadae kuona maendeleo ya hii kitu......
Leo mtatupaka matope humu mpaka basi.....ngoja niendelee kufuatilia....
Ha haa haa,nilipenda sana kuolewa na hili kabila bt unfortinately ckupata mwanaume wa kabila hilo
Mkuu Mwita Maranya, umeisikia hiyo tuhuma kwa homeboy wako?Mimi nilikuwa na bf wa kikurya tukashindana, amri hadi kwenye ma-love!! Akifika tu; Binti.com rare nikurare! Sikuwahi kubembelezwa hata siku moja.
Au kutengeneza "kimoro''.
sis ban htna tatzo weny mtatzo ni wale wvta bang mfano mi elimu yangu ni degree holder ciwz mpiga mke wangu maake mechangamna na makabila meng inkwa nasom na kjfnz vtu ving xna