mwalimu maskini
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 169
- 72
mkuu kisasi kinaruhusiwa hasa katika mlango wetu maana uchokozi kwetu ni moja ya miiko mikuu. haki na kisasi ni moja ya tunu la mlango wetu na wakurya wote! ila kiukweli wakurya tunapenda sana mie mpaka mchumba wangu huwa ananiambia nipunguze kidogoHawana kinyongo hawa si ndo waliwauaga watu pamoja na mifugo yao mwaka 2009 as a form of kisasi