BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 482
Ni wataalamu wa mambo ya Chumbani kwa sababu wanapenda sana vyakula vya asili maana vinawapa ngufu nyingi sana za kumiliki stage-Kichuli, amaghe, inyama, amabhele (maziwa) n.k
umebuugi kijana wakurya wasabatho sio wengi wasabato wengi ni wajita, wakwaya na waluriAhsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants
HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.
Motachambe!!!!
mh. inawezekanaje kufanya mapenzi pasipo na fikraMimi nilikuwa na bf wa kikurya tukashindana, amri hadi kwenye ma-love!! Akifika tu; Binti.com rare nikurare! Sikuwahi kubembelezwa hata siku moja.
Mimi nilikuwa na bf wa kikurya tukashindana, amri hadi kwenye ma-love!! Akifika tu; Binti.com rare nikurare! Sikuwahi kubembelezwa hata siku moja.
Mkuu Mwita Maranya, umeisikia hiyo tuhuma kwa homeboy wako?
Ha haa haa,nilipenda sana kuolewa na hili kabila bt unfortinately ckupata mwanaume wa kabila hilo
Kama bado upo single niPM.....mimi ni pure kuryan!!
Pot umemariza kira kitu mura,hakuna nyongesa kabhisaaaa,rakini sasa muraaa! demu mwenyewe anajua kubhika kichuri kweri!!!
Ha haa haa,nilipenda sana kuolewa na hili kabila bt unfortinately ckupata mwanaume wa kabila hilo
Ukiachika nipo free ntaendelea kusubiri.
Ah wapi Binti.com hizi story za kijiwe cha umbea hakuna lolote, siku ukimpata mkurya akikuacha utamlilia machozi.
Mkuu Power G huyo bibie Binti.com amejaribu kuudanganya umma. Nadhani atakuwa alitoswa ama walishindwana kwa mambo mengine kwakuwa jambo moja tunalolijua wanaume wa kikurya ni kuwapa mapenzi wake zetu.
christine ibrahim naona Mungu amesikia dua yako na haraka amemteremsha kwako The Magnificient. Karibu sana kwetu shemeji!!!:yo::yo::yo: