Kindness_cu
Member
- Dec 29, 2022
- 96
- 151
- Thread starter
- #121
I go alot hilo dogo tu mengine yanakuja🤣Hujawajua wanaume wew mbona hayo matukio madogo 😂😂😂
I go alot hilo dogo tu mengine yanakuja🤣Hujawajua wanaume wew mbona hayo matukio madogo 😂😂😂
I know karma so sijawai mkataa anaenioenda kwanza napenda zaidi nipendwe nideke 🤣kiforce we kuwezaKama wewe ulivyomkataa yule aliyekupenda.
Najua karma is. Bitch but i know fucked any mtoto wa mama mkwe ujawaipitia situation unapenda ila unatemdwa ww tu naPole sana mkuu, ila isije kua karma.. hakuna mtoto wa mtu ushamtenda huko nyuma? labda haya ni malipo, pole ila tafakari pia
Kama ulishawahi penda na unajua nini maana ya mahusiano ya malengo hautabaki katika hiko chama maisha yako yote. Stresses zinakufanya ujifariji but soon you gon' find your life soul mateNjoo huku kwenye kachama ketu ka usingo kenye wajumbe wachache dia, njoo tu upumzike kwa amani kwa kweli
Hahahahah kumbe na hamsemi sijapendaTulikubaliana zawadi iwe leso na soksi. Ona sasa wewe ukapeleka khanga na t.shirt now unateseka🙆
Aisee bi dada andika kiswahili tu unapuyanga mnooThis kills soo muchðŸ˜ðŸ˜
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣kingereza kinanogesha sentensi hcyihvyo kuna siku kitanyooka tuAisee bi dada andika kiswahili tu unapuyanga mnoo
Kwa kweliii.Tulikubaliana zawadi iwe leso na soksi. Ona sasa wewe ukapeleka khanga na t.shirt now unateseka![]()
Shangaziii hebu fungukaa zaidi, mbna km Una hoja hivi, unapaswa kusikilizwa.Hujawajua wanaume wew mbona hayo matukio madogo![]()






This kills soo muchðŸ˜ðŸ˜
Mapenzi yatawatesa sana kwa sababu mko kuangalia maisha ya mwanamume je, anajiweza?I know karma so sijawai mkataa anaenioenda kwanza napenda zaidi nipendwe nideke 🤣kiforce we kuweza
Na imagine jinsi ulienda mtembelea bila kumtaarifuHellow lovers,
Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Sio wote tuko hivyo, msihukumu generally kwa experiences zenu tafadhali dadaHujawajua wanaume wew mbona hayo matukio madogo 😂😂😂
HahahahahahhTulikubaliana zawadi iwe leso na soksi. Ona sasa wewe ukapeleka khanga na t.shirt now unateseka![]()






Hapo ni ufaindiaji shirikishi wa zawadi uliopewa na mwenza wako kama ukumbusho!Hellow lovers,
Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Mkwe😳😳😳Tupo pia ambao mchep mmoja hawezi kumjua mchep mwingine...wote wanahudumiwa equally 🤓
Wacha kusagia kunguniHujawajua wanaume wew mbona hayo matukio madogo 😂😂😂