Wanaume wabaya sana

Wanaume wabaya sana

.... uwa mnaanza kuacha vinguo kimoja kimoja mjengoni kabla ya maridhiano kuwa ww ndio Mama mjengo....ss hayo ndio malipo yake.Kakwambia kwa vitendo....btw pole sana....kweli Wanaume huruma hatuna
 
Usikute hyo jmaa amempa tu dada wa watu ..avae labda aliloa n hizi mvua calm down...
 
Hellow lovers

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi
Pole sana, wanaume wanaharibiwa na wanawake.
 
.... uwa mnaanza kuacha vinguo kimoja kimoja mjengoni kabla ya maridhiano kuwa ww ndio Mama mjengo....ss hayo ndio malipo yake.Kakwambia kwa vitendo....btw pole sana....kweli Wanaume huruma hatuna
U guys a wired
 
Wanakwambia,"Mwanaume bila mchepuko ni kama nchi bila rais'"

Pole, wa kwako anakuja
 
Pole bibie hla hpo tatizo utakua umelitengeneza wwe umempa mpenzio chemba zawadi ya khanga sasa wwe ulitaka aipeleke wap?
 
Ili usiue,jifunze kuacha.Mpotezee songa mbele
 
Back
Top Bottom