Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,934
kwa hiyo hizo boxer ulizokuwa umeniletea na ile perfum unampelekea nani siungeuliza huyu ni nani kuliko kuondoka na kuja kunihukumu huku bila kunipa nafasi ya kujitetea mai.....yule ni mdogo wangu yaani mtoto wa shangazi binamu yangu wala sikuwa na nia mbaya na alifanya vile kujua utareact vipi