Wanaume wabaya sana

Wanaume wabaya sana

Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.

Unaingia chumbani unaoga unalala Alf hapo uongei na yyte.
Na hyo siku huondoki unalala hapo hapo.
Wanaume wachache
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Na wewe kaa kimya mpaka uolewe halafu zaa na mwanaume mwingine watoto watatu ukiwa ndani ya ndoa, inakuwa ngoma droo.
 
Hivi wewe Mwanamke unatunga au ni kweli yanakukutaga?

Ushauri: penda mtu wa size yako
Yes , saivi narudi high class zangu hapo nilipo naenda shopping Leo naenda kumpendeza narudi gym , na pambana saivi niwe naenda gym zile za gharama , maana Mimi nilikuwa napendwaga na hao sio kajambanani hujui swaga zangu kiuono kiuno . Cheni za gharama sijiuzi ila napendwa ngoja
 
Hellow lovers,

Wanaume wabaya sana. Vuta picha mtu unampenda sana, unaenda kumtembelea unamkuta na mwanamke amevaa khanga na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Na wewe kwanini uende bila taarifa?ina maana hukufuatilia matokeo ya sensa mwaka jana?hujui wanaume tuko wachache na wengine mashoga..siku nyingine toa taafifa.


Comment ya hovyo😀
 
Mapenzi ni siri nzito sana .....unapenda usipopendwa.....wanaokupenda wewe huwapendi
 
Back
Top Bottom