Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,417
Last edited by a moderator:
![]()
Unataka athibitishe nini wakati picha zinaongea....?
Ndio ujemederi wenyewe kakaTatizo Bujibuji anahonga nyumba wakati yeye mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga hahahah
Halafu Wanyakyusa ni ma SIKAFUNJE, hawahongo hata ukiwatisha kwa AK45, sisi Wasukuma hela ipo, juu pamba, chini madini, kushoto ziwa kulia mang'ombe... za kuhonga mbona zipi nyingi tuuuu.
kila mwanamke anatamani kuwa na bwana wa kisukuma -Haya sio maneno yangu ni ya Nazjaz
Salamu ni kokote mnakikutana kitalolohivi Erickb52 hakunaga jukwaa la salaamu??
Iache iungue bhana... shemeji yako anataka tugawane mali, mi nataka tugawane jivu
njoo unihonge na mmNdio ujemederi wenyewe kaka
Asnam mie nakupenda jamani.ndo maana mkiuza pamba na mchele sagula sagula minadani inapanda bei kwa sababu yenu na yale manguo yenu ya ready made.