![]()
Hapa ulikuwa unawaza nini vile...?
Halafu Wanyakyusa ni ma SIKAFUNJE, hawahongo hata ukiwatisha kwa AK45, sisi Wasukuma hela ipo, juu pamba, chini madini, kushoto ziwa kulia mang'ombe... za kuhonga mbona zipi nyingi tuuuu.
kila mwanamke anatamani kuwa na bwana wa kisukuma -Haya sio maneno yangu ni ya Nazjaz
![]()
Kweli wewe ni kiboko..
![]()
Hapa ulikuwa unawaza nini vile...?
Unataka nikuhonge au unataka nikupeleke ukashuhudie nikiwa nahonga?
![]()
Hapa ulikuwa unawaza nini vile...?
Bujibuji mi nataka hiyo ya kwenye bold...Unataka nikuhonge au unataka nikupeleke ukashuhudie nikiwa nahonga?