Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,559
- 45,047
Hahaha hisia gani wajuba wananachotaka ni K tuNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Hahaha hisia gani wajuba wananachotaka ni K tuNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Ujasiri wa kumuelezea mwanamke hisia unatoka wapi wakati mifuko mitupu ukimaliza tu kuchukua namba mizinga inaanza unadhani wanaume ni ma bogus sio tatizo wanawake mmeweka tamaa ya pesa mbele.Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Na kuulizwa how was your day,umekula?Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
Huyu Mimi kabisa navojuaga kumkazia mtu macho🤣🤣🤣🤣Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
Kumbe pasi huwaga inaunguaKuna kadada nimejilipua kwake kakaniambia nitakupa jibu. Kesho yake asubuhi naambiwa pasi imeungua nikasaidie hela kanunue. 25K.
Nikasema tayari yamenikuta ya wanajf
@ephen_ unaonekana kisu na umejaaliwa neema za allahNi kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.