Wanaume wa mjini

Wanaume wa mjini

kwa mtindo huu mimi dar sitofika

ngoja nibakie mkoani
 
Aisee hahahah!!!naishi mjini tena ule mji unaorushiwa kila aina ya tuhma ila kwa hili sitapinga maana mjini siku hizi kila mtu ana ki-bag ukimuuliza je ndugu una safari anakujibu hapana,yaani mtu siku saba za wiki begi analo kama mwanafunzi na ukisema umvizie uone anatoa nini labda akitumie kwenye shughuli zake huoni akitoa kitu.may be ni hivyo vitu vilivyotajwa hapo juu.
 
Hahaha wanaume wa dizain hii mi huaga nawakwepa hakyanani,mi mwenyew kujiremba ni 0 nkakutane na mwanaume anapaka lipshine,anatinda nyusi,hahaha tuanze kugombania vioo inahu?
 
Aisee hahahah!!!naishi mjini tena ule mji unaorushiwa kila aina ya tuhma ila kwa hili sitapinga maana mjini siku hizi kila mtu ana ki-bag ukimuuliza je ndugu una safari anakujibu hapana,yaani mtu siku saba za wiki begi analo kama mwanafunzi na ukisema umvizie uone anatoa nini labda akitumie kwenye shughuli zake huoni akitoa kitu.may be ni hivyo vitu vilivyotajwa hapo juu.
Ukikutana na vijana kuanzia wawili na vibegi vyao mgongoni kuwa makini sana ndugu yangu, hasa wakiwa na bodaboda
.. siku hizi siyo bangi tu, wanabeba hadi bunduki!
 
Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.

Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
Khaaaaaaa!!!!
 
Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.

Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
si useme ukweli kuwa Mme wako sio Liziki ili tukupe ushauri sasa unahanza kuzunguka zunguka ili iweje

useme ukweli Mme wako anavyonyoa kiduku nakutembea na losheni ....itakuwa mmekutana Ambao...mnatoa service 071.....
 
Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.

Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
mmekutana nyote watu wa 071 sasa mnaanA kuanikana mitandaoni...
 
Mmmmmhhh sasa na ww mbona unatuandama sana.....tutakonda sasa...!!!
 
hahaaa namna mnalipiza ...daahhh ila hyo ya deodorant hiyo hhaaa sisemi kitu aisee
 
Hizi ni tabia za kikekike hazifai kwa mwanaume anayejielewa.
 
Wakinuka jasho maneno wakijiweka safi maneno...
Enyi wanawake ni nani alie waroga?

Mbona nini mnapenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom