Ukikutana na vijana kuanzia wawili na vibegi vyao mgongoni kuwa makini sana ndugu yangu, hasa wakiwa na bodabodaAisee hahahah!!!naishi mjini tena ule mji unaorushiwa kila aina ya tuhma ila kwa hili sitapinga maana mjini siku hizi kila mtu ana ki-bag ukimuuliza je ndugu una safari anakujibu hapana,yaani mtu siku saba za wiki begi analo kama mwanafunzi na ukisema umvizie uone anatoa nini labda akitumie kwenye shughuli zake huoni akitoa kitu.may be ni hivyo vitu vilivyotajwa hapo juu.
Labda wanawageza LL Cool J na Michael Jordan, nao wanalamba lips na ni wanaume wa mjini.Tena wakishapaka vaselin mdomoni wa kuongea wanalamba lips zao
Khaaaaaaa!!!!Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
si useme ukweli kuwa Mme wako sio Liziki ili tukupe ushauri sasa unahanza kuzunguka zunguka ili iwejeMwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
mmekutana nyote watu wa 071 sasa mnaanA kuanikana mitandaoni...Mwanaume unafanyiwa pedicure na manicure, una nyoa kiduku na kupata Vaseline mdomoni. Una begi ndani lina hand lotion, nail cutter, tissue, deodorant na perfume bila kusahau wallet yenye 5,000 ya nauli.
Wanaume wa mjini mmnishinda tabia. Mnakwenda bar mnashare chips ya ndovu na mwenzako.
kuja kuyajuw yote ayo itakuwa wamekutana watu wa 071 Wanawake wa siku hizi kwakuto service ya 071 wanatisha.Mmmmmhhh sasa na ww mbona unatuandama sana.....tutakonda sasa...!!!