Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Mkuu watacha wapi?,maana sasa wanakunywa uji wa chumvi kwa malimao dadadeki,ati MTAISOMA NAMBA,yaani ni full MAJANGA.
Uki change dola 1,000 tu huwezi kuzibeba kwenye wallet inabidi wakuwekee kwenye mfuko wa rambo na unajaa manoti mekundu!Nchi imekuwa ya ajabu sana ile
 
Uki change dola 1,000 tu huwezi kuzibeba kwenye wallet inabidi wakuwekee kwenye mfuko wa rambo na unajaa manoti mekundu!Nchi imekuwa ya ajabu sana ile
Yaani 21st century,wallet ni useless? halafu mijitu ooh tuna maendeleo,na sasa gas,petrolsiju madini gani etc etc,wamesahau nchi imeuzwa kwa mbwa,yaani shamba la bibi,watakalia kuwaona wazungu wanachota wanahamisha,halafu kazi kutembez bakuli kwa wakoloni,mchango,mchango,msaada,msaada wananchi wanakufa na njaa,wakat nchi tajiri kushinda Japan na America ukiziunganisha.
 
Jamani anaejua jinsi ya kupata visa ya USA anijuze.
Sasa kwa nini ulikwa unazunguka zunguka tu?,si ungesema tu,mbona mambo ya visa ya USA ni mteremko kama una god father?,basi nitaliwekea mkazo suala hili,halafu nitakujibu.
 
Yaani 21st century,wallet ni useless? halafu mijitu ooh tuna maendeleo,na sasa gas,petrolsiju madini gani etc etc,wamesahau nchi imeuzwa kwa mbwa,yaani shamba la bibi,watakalia kuwaona wazungu wanachota wanahamisha,halafu kazi kutembez bakuli kwa wakoloni,mchango,mchango,msaada,msaada wananchi wanakufa na njaa,wakat nchi tajiri kushinda Japan na America ukiziunganisha.
Sasa wanaunganisha nguvu kuchangia MADAWATI ehehehe!Tena hadi Regional Commissioner ukichangia madawati mengi anakupigia simu kukupongeza eheheheheheh
 
ngoja nitafute myuesiei nisafishe nyota.... kama kuna myuesiei aliyeko likizo akuje basi anitolee gundu....
 
Mambo pouwa wa ubani,siku hizi umekuwa mkali?,hadi naogopa na kutetemeka nikikuona jukwaani,mpaka najisemea rohoni" LEOO,.,.. MAMA YANGUUU,.,,.,.SIJUI KITANUKA TENA ?
Ha haa relax bana. Hata sina ukali jamani, istoshe hujanikosea yanayoendelea hapa nachulia ni utani tu
 
Back
Top Bottom