Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Ukwapi huo Uzi?Huku kuna matapeli sana hadi wa umri, nilishaandika uzi kuonya
kuhusu hili!
Ukwapi huo Uzi?Huku kuna matapeli sana hadi wa umri, nilishaandika uzi kuonya
kuhusu hili!
Ha haa yule Simplicity alikua anakutafuta halafu
Ha haa yule Simplicity alikua anakutafuta halafu
Anhaa umevizia kaondoka ndo unamsema eeh! Ngoja sasa aje
Halafu wewe unadhambi sana,yaani ulivyokuwa unamshinikiza binti ya watu mrembo,masikini ya mungu eti unamwambia na fulani alikuwa anakutafuta,basi na yeye bila kujijua anaanza kumtafuta huyo fulani na kumtukana,halafu kibao kinamgeukia,ukiona tena amekaa kimya mara Freema Agyeman njoo huku huyu nae anakutafuta,duuh sasa ikawa kama kaponda jiwe kwenye mzinga wa nyuki,mwisho masikini kajisemea mie sirudi tena kwenye huo uzi,gun down,Haya ukalale sasa
Daah yaani umemuwekea Freema hii tena? da wewe nilikuogopa toka siku ile uniache mataa ya Tazara.Unahisi huyu dada atakua kabisa ganiView attachment 360144
KwendraaaaaHalafu wewe unadhambi sana,yaani ulivyokuwa unamshinikiza binti ya watu mrembo,masikini ya mungu eti unamwambia na fulani alikuwa anakutafuta,basi na yeye bila kujijua anaanza kumtafuta huyo fulani na kumtukana,halafu kibao kinamgeukia,ukiona tena amekaa kimya mara Freema Agyeman njoo huku huyu nae anakutafuta,duuh sasa ikawa kama kaponda jiwe kwenye mzinga wa nyuki,mwisho masikini kajisemea mie sirudi tena kwenye huo uzi,gun down,
Unamchokoza eeDaah yaani umemuwekea Freema hii tena? da wewe nilikuogopa toka siku ile uniache mataa ya Tazara.
Unahisi huyu dada atakua kabisa ganiView attachment 360144
Daah ,yaani kisa mimi muuza karanga ndo leo naambiwa KWENDRAAAAA,.,,.,haya bhana,lakini mbona hukuweka tule tu emoji emoji emoji?,basi nyie kaeni ni kina Mzee mengi bhana.Kwendraaaaa
UtrajijuuuDaah ,yaani kisa mimi muuza karanga ndo leo naambiwa KWENDRAAAAA,.,,.,haya bhana,lakini mbona hukuweka tule tu emoji emoji emoji?,basi nyie kaeni ni kina Mzee mengi bhana.

Basi mamishuu,namuogopa maana huyo ni mtani wangu halafu ana msahafu wa matusi(chezea Mange Kimambi)?Unamchokoza ee
Mbona tayari nimeshajijuu jamani?Utrajijuuu![]()
Mbado hujaji jeijei vizuriMbona tayari nimeshajijuu jamani?
Yaani wewe Ngabu kiboko,eti mazee.Mazee kwani huyo ndo Director wetu wa NYC?
Tayari na we naye,au unataka kuniongezea dozi?,nisije kushindwa kudrive kifua tonight mamishuu bhana,imetosha.Mbado hujaji jeijei vizuri
OK.... Gudu nait.... Ngoja nitumikie kitanda sasaTayari na we naye,au unataka kuniongezea dozi?,nisije kushindwa kudrive kifua tonight mamishuu bhana,imetosha.
Kitanda peke yake au na passenger?,maana usijekuwa kama Mange Kimambi,kaambiwa na videnish eti analala peke yake siku zote,wakati yeye kidenish ana mme ila kasafiri siku moja tu na inakuwa nightmare,angalia majinamizi yasikukabe usiku.OK.... Gudu nait.... Ngoja nitumikie kitanda sasa
We mchokoze tu mi sipoKitanda peke yake au na passenger?,maana usijekuwa kama Mange Kimambi,kaambiwa na videnish eti analala peke yake siku zote,wakati yeye kidenish ana mme ila kasafiri siku moja tu na inakuwa nightmare,angalia majinamizi yasikukabe usiku.
Daah kweli,maana wa kunitetea si ni wewe?hebu acha niufyate mamii,lakini nakuomba akianza kunikorome ,mtumie ujumbe PM,Mwambie msamehe,huyo ni baby wangu wa ubani au vip?,hapo najua atazima fegi, leo vipi huoshi vyombo?We mchokoze tu mi sipo