Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Hamisi umewapa nini watoto, kila mtu hamisi wangu hamisi wangu. lol.
 
ntaku NDI NDI NDI

Unakumbuka siku ile tulipoenda lodge? Ulikuwa mtamu kweli kweli....

20160608_174540.jpg
 
Kila kitu kiliwekwa wazi? Yaani ma evidence ya nguvu? Incontrovertible evidence?

Hilo la kuchapa nasingiziwa tu. Au kuliwekwa video evidence nikimchapa mtu?

Mshikaji atakuwa na mazonge tu ya kuchapiwa demu wake lakini mimi sihusiki kabisa.

Ujanja wangu wote huishia humu humu JF na akina Valentina 😀.
Hebu njoo nikukague kama kweli hujachapa we sukuma
 
Kila kitu kiliwekwa wazi? Yaani ma evidence ya nguvu? Incontrovertible evidence?

Hilo la kuchapa nasingiziwa tu. Au kuliwekwa video evidence nikimchapa mtu?

Mshikaji atakuwa na mazonge tu ya kuchapiwa demu wake lakini mimi sihusiki kabisa.

Ujanja wangu wote huishia humu humu JF na akina Valentina 😀.
Hahhahahahahah evidence ziliwekwa bhana yaani ile ni kama cyber bullying za mange kimambi mpaka rangi chupi ilitajwa na number ya dudes who hitted it per year was mentioned full specifications.

Kuna mdau anaitwa spartakas mcheki huko pm akupe mkanda maana kuna watu wanaoneka very innocent kumbe ni certified public sluts CPS .

Niishie hapa maana tushaanza kuonekama "wabongo nuksi" kama sio "wapambe nuksi"

Muone spartakas pm akupe mkanda maana ndo mwenye evidences zote

 
"Mfano, baharia kila leo ameambatana na lundo la wasichana pamoja na uzee wake wote"


Ha ha ha Haa mi nimepapenda tu hapa
 
nimepata motisha ya kuondoka JF kwa muda. milele siwezi.
 
Watu ile tumerudi mbele kishule i.e bongo likizo madem wakali wa high school kama wa 4 hivi nikapiga show na sikuhonga hata 100. Unamtoa out, swimming, eating dem anajaa ye mwenyeeewe, unapiga show. Kuna wakati sikuamini nimekula ile mizigo. Daah

Achalia mbali na wanaoleta shobo. Yani kama unaishi states hujaoa ukiwa unarudi bongo likizo these chicks utawachoka mwenyewe (kikubwa tumia kinga tu), wengine wanaweza waka kunasia mimba. Issue ni wajue the position ur in and toa out mbili tatu. Utaniambia.
sa wanajuaje unaish mbele au watoto wote wa high school wanafaham unaish mbele au unajiongelesha sana (i , you , we , they)?
 
Back
Top Bottom