KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Waambie MAMBULA HAO.Huko kuna Malaria,kipindupindu,mabusha na magonjwa mengiii yanayoweza tokomezwa
Kwanza tokomezeni Malaria bana ndiyo tuje kumiliki ardhi!
Ahahaha inachukua masaa 6 toka Bahari Beach hadi Kariakoo ukisafiri mchana ahahaha