Sasa baba yetu Adam ndio muasisi sisi tunaachaje? Tuendelee tu kulaumiana, kila binadamu ana ujinga ila wenu umezidi.Hii tabia ya kurushiana maneno ilianza zamani sana, kila mtu anaona mwenzake ndio kakosea, Sir God kamuuliza Adam, jamaa kamtupia mpira Hawa, Hawa nae kaona isiwe tabu, nyoka ndio katupiwa furushi lote.
Nadhani kwa mtu anayejielewa hawezi tu kulaumu kila kitu kwa mwenzake, we live to complement each other. Ukijua hakuna kiumbe perfect, hutapoteza mda wako kulaumu kila saa. Kwanza hakuna binadamu asiye na ujinga...
umeona utaaamu mwenyeweleo ufurahie nawewe
meona
I am so disappointed. Huu uzi haukutakiwa kuwa hivi, mtu kaleta hoja hayakutakiwa kuanza matusi.Naona mvua za matusi tu zikimwagwa kwenye huu uzi, dunia ya mtandao haipo salama kabisa.
We ain't trippin'Ex darling umesahau wewe ndio ulisema mwanaume hajishushi? We jinunishe ukitegemea kubembelezwa, maisha mafupi haya kwanini utake kuyafanya yawe magumu kwa mwenzio asiyafurahie? Mwaga mboga namwaga ugali na jiko nafungulia gas itoke yote.
That's that nerveI am so disappointed. Huu uzi haukutakiwa kuwa hivi, mtu kaleta hoja hayakutakiwa kuanza matusi.
Kama hoja ingejadiliwa na mleta uzi angeulizwa kwa busara tu mpaka tungefikia hitimisho.
Anyway, that's that
Na mna haki haswa ya kutafuta furaha zenu. We need to be fair sometimes, wengine sisi tukiwa hatukuelewi tunakumwaga fasta, sasa iweje nyie ndugu zetu mkitumwaga kama hatujielewi iwe nongwa???Wanawake tukitaka vile vinavyotupa faraja hatujielewi, ila nyie mkitaka vyote basi ndio mna akili!!!!!!!!!! SMH
Wewe baadhi ya wanaume basi, hapo unapotuchanganya sote utakuwa hututendei haki wengineWanaume wa siku hizi ndio maana akili hamna, hata hamuelewi nini maana ya uanaume wenu. Sijui mnalea familia za aina gani?
Hahaahah! Bro naona umemkomalia bi dada, hebu muepushe shetani bhanaDamn... Do you qualify for my signals? You're garbage and you"ll remain that way to me till ya lamed down.
Ngoja kwanza tuanzie hapo kwenye "kweri Kweri" yako, it's "kweli kweli" i hope utakuwa unatoka mikoa fulani ilee!! The issue of chagga guys kuwa unromantic isn't something surprising hata mimi nilishapata kadhia hiyo kwa ex-partner wangu. I hope baadhi ya watu sampuli yenu mnakuwa mnakosa wisdom per logic of resoaning behind this matter. Nisingependa kuongelea issue za vyumbani and so forth ila mjue kuwa kila binadamu anapitia malezi tofauti ambayo atayaishi mpaka utu uzima wake na kujifunza atakayopitia katika msururu mzima wa maisha yake kama changamoto kwake hadi umauti. Sasa kama umemkuta kijana wa watu hayuko sawa kwenye kitengo fulani inabidi uwe na msaada kwake kurekebisha hilo na kwake kwako katika vitengo vingine vivyo hivyo. i.e kama kwenye utafutaji uliosifia kutoka upande wake.Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats allπ€π€
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Tutawaogopa kwa kweli
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Muwe mnajitahidi kwa kweliπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ Siwezi watetea Hawa kaka zangu nawajua vizuri kwenye mambo ya kupetpet ni zero. Kiufupi jamii ya kichaga ipo hivyo labda maana wanaume pia wanawalalamikia wanawake wa kichaga kunako sita kwa sita ni magogo. By the way mimi ni mchaga lkn najitahidi sio gogo sana
Mungu wangu! πππππππ
Kweli kaka zako wanapwaya ukweli usemwe tu
Dah! Uzi umeniharibia hamu ya kula tumezodolewa mno humuDah uzi umefika mbali sana
Siwezi hata soma
Bibi yangu aliwahi kuniambia kamwe nisije nikampiga mwanamke, nitalaanika. Naheshimu hill na halitotkea kamwe, nikishindwana na wewe nasepa tuMwanaume mpole ni yule ambaye mke wake akifanya makosa anatafuta njia nzuri ya kumrekebisha bila kumfokea wala kumpiga ila sasa nyie watoto wa farao mwee mwee mwee mwee mbombo jilipo
Ntazifikisha hz salamReally?? Tell him I hate him