Wanaume wa kichaga

Eti umesema mwanume akiwa anatafuta pesa kupeti peti ni nini?

Je hii inaaply kwa wanawake watafutaji pia au?
 
Nitafute nikuchangamshe, pm. Mikikimikiki inaanzia jikoni mpaka kwa bedi. Njoo upate dozi.
 
Si ungemtafuta huyo unayemtaka kimya kimya, kwani lazima uje kumuanika bwana ako humu?
 

Mwenza na mimi nifundishe maana kama kuni hata hakitikisiki.
 


We tunafanana vitu vingi, kama mbwai na iwe mbwai tu hakuna kubembelezana wala nini.
 
Soma uzi then utapata majibu, so far wanaume wote wa kichaga walochangia wamethibitisha hilo, pia hata wanawake wamethibitisha.
Nimesoma ulichokileta nikakuuliza hilo swali, wewe ukiona mwanaume yupo aina fulani basi itakuwa ni kabila?
Umekulia wapi hadi ukawa na fikra kama hizo?
 
Wakati starehe zao sisi tukiongea wanadai wanawake tuna gubu, labda watu walivyokushangaa akajipima akaona anapwaya kuwa na wewe maana kwa kujistukia hawajambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…