Wanaume wa kichaga

Well uliquote kwa akina manka kama yo base of arguement. Kuonja muhimu ili kujua kama yaliyomo yamo, kuliko ukija kusikia mambo ya kileleni unaanza kutoa macho kumbe ni mambo ya kawaida tu.
Wachangamsheni kaka zenu bwana sio mnahamia Kenya.
Alright then.!!
 
Pole ila you are still a bi.tch.
Endelea kuonja onja kila nyama. Usisahau kutuletea mrejesho.
Hello biatch, calm down soko lako sijaligusa kabisaaaa wala halinihusu.
 
Ni-PM namba yako nkutumie hela ya lunch
 
Unashimo wewe ndio maana hana time na wewe..
 
Ungekuwa pesa angekuchangamkia, nani fala achangamkie mashine ya kula pesa, sepa unasubiri nn, aisee watu wengine ni waajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…