Kuna sister mmoja alikuwa na wa kutoka hukohuko ilikuwa ni kumboost na ule uji wa Mbegeee yani ni goigoi kn kondoo!!Pesa kwangu sio tatizo maana hata mimi najua kuzitafuta, nahitaji mwanaume wa kufurahi nikiwa nae.
Wabena na kuwa romantic wapi na wapikwenye picha hapo ni wewe? mimi ni mwanaume wa kibena, nipo romantic kweli kweli, pia mtafutaji kama wewe
mimi ni mbena wa townWabena na kuwa romantic wapi na wapi
Mnakwama wapi sasa warembo, mabaharia tupo hebu fanyeni mjiongeze basi 😂😂😂Unaona sasa... Utani mwingi kukimbizana... Hehehehe kwakweli wanaume wenye wapo kibabe tuko nao tu tufanyaje
Mchaga unepigwa za uso, acha ku-panicHakuna cha soon pesa inakugandisha hapo nasi kwamba amekuganda!
Wabena na kuwa romantic wapi na wapi
Mbena wa Dasalaam?mimi ni mbena wa town
Mbena mbena tu bwanamimi ni mbena wa town
Mimi pia si mkata miti bebiHebu temana na huyo mkatamiti bebi
Umeshawah kumwambiaI see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
Mnakwama wapi sasa warembo, mabaharia tupo hebu fanyeni mjiongeze basi