myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
Sawasawa jiraniNdiyo jirani 😂😂
Sawasawa jiraniNdiyo jirani 😂😂
Ngoja Vijana wangu niwafundishe kutafuta hela wakiwa bado wadogo kuepuka aibu za kuwaambia wake/wachumba zao kutoa elfu 45 ili watoe msamaha wakikosewa 😂
[emoji23]Hii ni fedheha iliopitiliza.Ngoja Vijana wangu niwafundishe kutafuta hela wakiwa bado wadogo kuepuka aibu za kuwaambia wake/wachumba zao kutoa elfu 45 ili watoe msamaha wakikosewa [emoji23]
Usiseme hivyo bana hao wengine siyo waaminifu usiwakubalieKama dada yangu ashakuwahi ngoja nikuache tuu
Niendelee kusaka mwngine wa kuingia nae 2023
Uzi wa tangu saa kumi na moja jioni hadi sasa saa tatu usiku bado hujafunga hiyo inboxMNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
Vijana wa Kiume wamechoka kuchezewa na wao 😂
🤣🤣🤣 Huu nao ni uongo wako, unawezaje kuhimili vishindo vya mchekeleo wa mazagazaga ya ngenye!!🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi napendelea kukaa single... wachumba sitaki kabisa. Si unaona mambo ya kudanganywa, Italy kumbe yuko Bonyokwa...
Kumbe we sitaki nataka nimekujuaaaNi mambo tu yakuongea taratibu mbona umefanya maamuzi ya haraka sana
😂😂😂😂😂😂 lucha unajichezea kiasi hikiiiUsiseme hivyo bana hao wengine siyo waaminifu usiwakubalie
Sister siku hizi unatukana! Msamehe tu kwa kweli , huwezi jua analitia hali gani.Uzi wa tangu saa kumi na moja jioni hadi sasa saa tatu usiku bado hujafunga hiyo inbox
Mtaacha lini kiki za kingese hizi IDs mpya mammmae zenu
Tena kama mie wala sisemi uwongo. Nakwambia tuu mammy twende tukagegedane. Hutaki basi kila mtu na njia yakeSikia basi, hao wa hivyo ni hao uliokutana nao, mbona watu kibao tuko poa tu, hebu mcheki mzabzab.
Tena hao wanaojifanya wastaarabu ndio balaa!! Kumbe haya mambo ya kukopa na hawarudishi ni wengi eeh!!Humu Jamii Forums kila kitu hakina uhalisia uongo, utapeli kujifanya maisha ya juu. Nakumbuka mwaka 2010 kuelekea 2011 kulikuwa na mpango wa kuanzisha Jamii Empowerment Saccos yaani kuna mtu alikuwa ni mstaarabu sana na alikuwa ni kivutio kwa jukwaa la MMU na katika huo mchakato yeye alikuwa kama Excutive Secretary akaniazima laki 3. Nilimdai mpaka nilichoka na akaamua kuni block na humu JF simuoni tena.pole kwa yaliyokukuta humu JF watu wanaiwanaishi maisha ya kuigiza.
Ndio maana nimemdirect kwako, najua hamtashindwana.Tena kama mie wala sisemi uwongo. Nakwambia tuu mammy twende tukagegedane. Hutaki basi kila mtu na njia yake
Khaaaaaaa jaman wew si una muaminifu wako tayariNi mambo tu yakuongea taratibu mbona umefanya maamuzi ya haraka sana
Usiongee kwa nguvu bas punguza sautiKhaaaaaaa jaman wew si una muaminifu wako tayari
Embu tulia huko tafadhali 😒