DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,613
- 2,884
Akikujibu nitag nipo nimekaa pale!Akifanya vizuri, sifa anapewa yeye huko huko pm na Whatsapp. Akizingua, lawama zinakuja kwa wanaume wote wa JF.
Anyway, umesema wanaume wa JF sio wakweli, kwani umetoka na wangapi ambao walikuwa kama sample space ya research yako?
Ubarikiwe wewe uliyeelewa hiloNdugu zangu niwaombe tuwainee huruma wakina dada, hata kama hawana huruma na shukrani kwetu lakini sisi tusiwe kama wao.
Kila mara wanaumizwa, naomba tusiendelee kuwaumiza, tusiwe sababu ya kuendelea kuwaumiza.
Tunaweza kabisa kwa akili tulizojaliwa kuishi nao bila ya kuwaumiza na wao kutokuwaumiza.
Mleta mada pole sana.
We si uliniambia nisubiri kwanza tujaze mkataba kwahiyo hiki kipindi ambacho nakusubiri nimeamua niwe singo nisijichanganye ukaniona siyo muaminifuLucha jamani na mim je?
Mzee wa Shambarai, niaje.Ndugu zangu niwaombe tuwainee huruma wakina dada, hata kama hawana huruma na shukrani kwetu lakini sisi tusiwe kama wao.
Kila mara wanaumizwa, naomba tusiendelee kuwaumiza, tusiwe sababu ya kuendelea kuwaumiza.
Tunaweza kabisa kwa akili tulizojaliwa kuishi nao bila ya kuwaumiza na wao kutokuwaumiza.
Mleta mada pole sana.
NAKAZIA HAPA.Aliye sereous hamkubali anaye kuja kukuchezea mnamkubalia
We si uliniambia nisubiri kwanza tujaze mkataba kwahiyo hiki kipindi ambacho nakusubiri nimeamua niwe singo nisijichanganye ukaniona siyo muaminifu
Waumie na kuugulia kimya kimyaAkikujibu nitag nipo nimekaa pale!
Mabinti wanatafuta ndoa kwa hali na mali. Mabaharia wanataka kupiga na kusepa. Mpishano, vurugu na kudanganyana kunaanzia hapo!
Kila siku mmu nyuz ni za kulalamikia wanawakeYaani wamepatikana kila siku thread zao
Kwahiyo umekuja kunidhalilisha huku? Ndiyo nipo Italia nasomea upadri!Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Sikia basi, hao wa hivyo ni hao uliokutana nao, mbona watu kibao tuko poa tu, hebu mcheki mzabzab.Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Imetosha sasa mmetupopoa vya kutosha sisi watafuta wachumba sasa mimi siji tena inbobo naogopa na niliyempata asije kunisambazia unga hapa
Mkuu Mad Max ndugu yangu hii wiki yetu umenusurika kweli na mishushuo hii ?
Dada To yeye usidhani nami ni miongoni mwa hao penzi langu bado liko hot huku[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app