Haswa wale ambao akili zipo nje ya nchi huku miili ipo Tanzania. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabla hujaoa madem Wala hawakutaki ila ukioa sasa sijui salam huwa zinaanzia wapiAtakaeshinda basi mfungulie tu utanipa mrejesho kakuambia kwa siri iwe siri yetu
🤣🤣 sinza kamanyolaHehhehe halooooo
Nani huyo kakudanganga yuko Italia?
Wanaume wa humu wote wako Sinza na Meru 😂
Huyo dada ni tapeli kwanza nina wasiwasi ni ME
Yule nae kuna mahala alijichanganya sio wa kumuamini. Wao pekee ndio wanaujua ukweli.Kuna jamaa mmoja alileta uzi humu, umemtapeli kwa kisingizio cha kutaka mchumba.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huu Mwaka hadi uishe Wanaume humu tutakoma, tangu juzi ni Nyuzi za Wanaume tu
Mara wanataka kutumiwa nauli, wengine wanaomba hela ya Msamaha elfu 45, na huyu naye ameombwa Vocha ili awe anabembelezwa Usiku kama Marlow [emoji134]
JF humu sio mahala pa kumuamini yoyote mana kuna kila aina ya vituko.Huyo dada ni tapeli kwanza nina wasiwasi ni ME
Kiukweli tunaendelea poa sana 😆Yule wa kwako uliempata kule selfika mnaendeleaje?😁😁😁
Kuna vituko zaidi ya "ze komedi"JF humu sio mahala pa kumuamini yoyote mana kuna kila aina ya vituko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakuja wengiii naomba Darlin akukomeeKabla hujaoa madem Wala hawakutaki ila ukioa sasa sijui salam huwa zinaanzia wapi
AiseeKiukweli tunaendelea poa sana 😆
Ndiyo jirani 😂😂Aisee
🙌🙌Wanakuja wengiii naomba Darlin akukomee