Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,045
- 126,061
Haswa wale ambao akili zipo nje ya nchi huku miili ipo Tanzania. 🤣🤣🤣Haya wanaume wa JF mnaitwa huku...
Haswa wale ambao akili zipo nje ya nchi huku miili ipo Tanzania. 🤣🤣🤣Haya wanaume wa JF mnaitwa huku...
Nitakujengea sanamu lako🤣🤣🤣Pole bibie ila sasa ulitaka waombe nini jamani maana sio kaka zako hao!
wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Argentina ndo wapi?😅Hebu njoobArgentuna baby lkn utakuwa mke wa 4 na ukinizalia atakuwa mtoti wa 8😂😂
Acha kabisa, kuna watu ni waongo mpaka akiwa anaongea, shetani anachukua notes... 😆😆😆😆Haswa wale ambao akili zipo nje ya nchi huku miili ipo Tanzania. 🤣🤣🤣
hii siyo kweli naomba ukanushe hii post Yako ..Naomba niwe wa kwanza kujiondoa kwenye hii tuhuma nzito..Serious am not among the one unaowatuhumu..Please twamaliza Mwaka please ungewataja hao kuonyesha kuwa wameonyesha utoto kuliko kutuingiza ambao siyo wa makundi hayo. Ni heshima mkawa very clear than generalisation ni ungwana na ukomavu wa akili na afya ya Akili. Hii kasumba siyo nzuri kabisa tunaichukulia JF kama Badoo au Facebook wakati ni Jukwaa kubwa na lenye heshima kubwa Duniani. Mkishindwana PM please acha kuja na tuhuma ya Jumla.Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Wee Depal acha basiHehhehe halooooo
Nani huyo kakudanganga yuko Italia?
Wanaume wa humu wote wako Sinza na Meru [emoji23]
Ila wewe sijawahi kukuona ukitafuta kamchumba!!, Au wewe ni sister?.Haya wanaume wa JF mnaitwa huku...
Akifanya vizuri, sifa anapewa yeye huko huko pm na Whatsapp. Akizingua, lawama zinakuja kwa wanaume wote wa JF.Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Hii kasumba ya kutuhuma wanaume wote wa JF ni ukosefu wa ukomavu wa akili kabisa.. Umefuatwa pm cha ajabu badala ya kumpokea mmoja mara umempokea wa Italia, mara wa Mbeya mara wa Mkoa gani mwingine sijui mnaambizana mumbembelezani hadi usingizi.. Matured Man hawezi kukupigia usiku eti akubembeleze ulale huyo ni hawa waliomaliza Vyuo majuzi sasa mkukutana nao msituhukumu siye wengine ambao Jua limeshazamaa na hatuna hizo slay lifeAkifanya vizuri, sifa anapewa yeye huko huko pm na Whatsapp. Akizingua, lawama zinakuja kwa wanaume wote wa JF.
Anyway, umesema wanaume wa JF sio wakweli, kwani umetoka na wangapi ambao walikuwa kama sample space ya research yako?
🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi napendelea kukaa single... wachumba sitaki kabisa. Si unaona mambo ya kudanganywa, Italy kumbe yuko Bonyokwa...Ila wewe sijawahi kukuona ukitafuta kamchumba!!, Au wewe ni sister?.
Dada jaman tuelezee kidogo hawa wanaume wa huku walichokufanya😂au wew huna ushuhudaHahahaaa...😂😂😂😂😂
It's wanaume wa JF agaaaaaain...!!
Mie nikae zangu na popcorn za kutosha hapa kivulini....!!🍿