Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Huwa nawashauri sana wanaume wenzangu waache uongo lakin hawataki, Mimi wanavyoniona ni mkweli wananichukulia kama mshamba kwakweli wanaume wenzangu wameharibika sana mbona mi ni mkweli tu na sijapungukiwa chochote, nisikufiche wengi wana madem watatu watatu mimi tu ndo niko singo wala sina tamaa na madem
 
Huwa nawashauri sana wanaume wenzangu waache uongo lakin hawataki, Mimi wanavyoniona ni mkweli wananichukulia kama mshamba kwakweli wanaume wenzangu wameharibika sana mbona mi ni mkweli tu na sijapungukiwa chochote, nisikufiche wengi wana madem watatu watatu mimi tu ndo niko singo wala sina tamaa na madem
Lipia tangazo tafadhali 😆😆😆
 
Sema Dada umekosea kujumlisha watu wote ..
Kwa sababu wanaume wote jf tungekuwa hivo huu mtandao ungekosa wanawake.
Mbona wapo wanawake humu tunaheshimiana nao vizuri tu hawatulalamikii namna hiyo?!
Mie nafikiri wewe ndo una matatizo kama nitakavoambatanisha haya ndo chanzo
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Una stress hujapona ndo maana
Lakini pia sababu ya kukosa mchumba mtaani na kuja kutafuta humu pia ni chanzo.
Ila relax Dadangu maisha haya yakiamu yanavurugaga kweli kweli.
20221208_182307.jpg
20221208_182239.jpg
 
Huwa nawashauri sana wanaume wenzangu waache uongo lakin hawataki, Mimi wanavyoniona ni mkweli wananichukulia kama mshamba kwakweli wanaume wenzangu wameharibika sana mbona mi ni mkweli tu na sijapungukiwa chochote, nisikufiche wengi wana madem watatu watatu mimi tu ndo niko singo wala sina tamaa na madem
Hongera kwa njia mpya ya kutongoza na wewe usije ukajaa na mrejesho kuwa umepigwa 150k ya ugonjwa wa Mama
 
Humu Jamii Forums kila kitu hakina uhalisia uongo, utapeli kujifanya maisha ya juu. Nakumbuka mwaka 2010 kuelekea 2011 kulikuwa na mpango wa kuanzisha Jamii Empowerment Saccos yaani kuna mtu alikuwa ni mstaarabu sana na alikuwa ni kivutio kwa jukwaa la MMU na katika huo mchakato yeye alikuwa kama Excutive Secretary akaniazima laki 3. Nilimdai mpaka nilichoka na akaamua kuni block na humu JF simuoni tena.pole kwa yaliyokukuta humu JF watu wanaiwanaishi maisha ya kuigiza.
Huyo jamaa atakuwa Yuko tu humu SEMA kabadilisha ID😂
 
Sema Dada umekosea kujumlisha watu wote ..
Kwa sababu wanaume wote jf tungekuwa hivo huu mtandao ungekosa wanawake.
Mbona wapo wanawake humu tunaheshimiana nao vizuri tu hawatulalamikii namna hiyo?!
Mie nafikiri wewe ndo una matatizo kama nitakavoambatanisha haya ndo chanzo
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Una stress hujapona ndo maana
Lakini pia sababu ya kukosa mchumba mtaani na kuja kutafuta humu pia ni chanzo.
Ila relax Dadangu maisha haya yakiamu yanavurugaga kweli kweli.View attachment 2439824View attachment 2439825
Afadhali kumbe ana depression
 
Hehhehe halooooo
Nani huyo kakudanganga yuko Italia?

Wanaume wa humu wote wako Sinza na Meru 😂
Hivi humu wanaume kukadia wanawake na wanawake kukandia wanaume hakutoisha eeh.

Yaani kila wiki lazima kiumbe mmoja akandiwe. Ila mbususu na de libolo wanapeana🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA

yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo

Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo

Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Hebu kunywa maji kwanza binti!
 
Lipia tangazo tafadhali 😆😆😆
Kitu kingine nacho wakataza wanaume wenzangu ni kuacha ubahili wahudumie madem zao, kwakweli inasikitisha sana mimi sina demu lakin had nataman kuwahudumia madem wa marafik zangu maana wanaume wenzangu hawatoi hela
 
Kitu kingine nacho wakataza wanaume wenzangu ni kuacha ubahili wahudumie madem zao, kwakweli inasikitisha sana mimi sina demu lakin had nataman kuwahudumia madem wa marafik zangu maana wanaume wenzangu hawatoi hela
Fungua piemu nakuja mkuu
Nshaona dalili ya kuanza mwaka 2023 na wewe😂😂
 
Back
Top Bottom