hata akifunga unadhani ndiyo suluhisho? wameshapeana namba za whatsapp wanataka kupigiana vedio call sijui usiku kuthibisha mchaguliwa kama hana mke au kama kweli jamaa mwingine yupe Itally hahahahah sijui Mwingine yupo Brazillly huo ni utooo siamini kama bibie anamiaka 35 ......... mwanamke wa miaka hiyo hana huo utoto wa video calls na hawezi kuwachagua wanne wote kwa wakati mmoja wawe wachumba zake hahahah Hili nalo Tujifunze kituSuluhu ni kufunga pm au kutokujibu any message
Achana na hao madem wa washkaji zako msaidie mtoa mada mkuuKitu kingine nacho wakataza wanaume wenzangu ni kuacha ubahili wahudumie madem zao, kwakweli inasikitisha sana mimi sina demu lakin had nataman kuwahudumia madem wa marafik zangu maana wanaume wenzangu hawatoi hela
Vijana wanataka kuona yaliyomo kwanza 😃😃Pole bibie ila sasa ulitaka waombe nini jamani maana sio kaka zako hao!
Atakuwa Zero IQ huyo.Hehhehe halooooo
Nani huyo kakudanganga yuko Italia?
Wanaume wa humu wote wako Sinza na Meru 😂
Bahati mbaya hapa sina sifa alizotaja kuliko niwe muongo kama wanaume wenzangu walivyo waongo bora nimuache tu niendelee kuwa singo ila najua wewe huwez lazima umeshajaribu kumdanganyaAchana na hao madem wa washkaji zako msaidie mtoa mada mkuuView attachment 2439842
Sasa sie wakweli tukitokea[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Suluhu ni kufunga pm au kutokujibu any message
sasa huyo ukiwa mchumba wake utakuwa unaenda kufurahia nini au utamridhisha kwa lipi.. Kumpenda mtoto wake wa miaka 3 au kwenda kumzuia asife kwa sababu ya stress za baba mtoto wake kumtelekeza na maisha kuwa magumu. Ushauri wa dada wa humu msaidieni mwenzenu anapitia kipindi kigumu sana... Yeye anatafuta mwanaume wa kumbembeleza jemba naye ameomba lipwe hela ya vocha ili aweze kumbembeleza bibie amekuja kumuanika humu siyo sawaKuweni makini tutahangaika kuandika kumbe member mwenzetu ana matatizo tukamshambulia bure..
Anahitaji kusaidiwa Akili yake ikae sawa..
Usingle Mama si mchezo mkuu na hali hii halafu awe hana kazi ni mtihani.
mkuu umejuaje kama hana sifa au nawe ni miongoni mwa mliotelekeza hahahahBahati mbaya hapa sina sifa alizotaja kuliko niwe muongo kama wanaume wenzangu walivyo waongo bora nimuache tu niendelee kuwa singo ila najua wewe huwez lazima umeshajaribu kumdanganya
Huwa nawashauri sana wanaume wenzangu waache uongo lakin hawataki, Mimi wanavyoniona ni mkweli wananichukulia kama mshamba kwakweli wanaume wenzangu wameharibika sana mbona mi ni mkweli tu na sijapungukiwa chochote, nisikufiche wengi wana madem watatu watatu mimi tu ndo niko singo wala sina tamaa na madem
Hahahaha mkuu umenikosea sanaBahati mbaya hapa sina sifa alizotaja kuliko niwe muongo kama wanaume wenzangu walivyo waongo bora nimuache tu niendelee kuwa singo ila najua wewe huwez lazima umeshajaribu kumdanganya
Mwingine tena😅🙌Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Mbona unazeeka sasa miaka 32 sasa🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi napendelea kukaa single... wachumba sitaki kabisa. Si unaona mambo ya kudanganywa, Italy kumbe yuko Bonyokwa...
Kitu kingine nacho wakataza wanaume wenzangu ni kuacha ubahili wahudumie madem zao, kwakweli inasikitisha sana mimi sina demu lakin had nataman kuwahudumia madem wa marafik zangu maana wanaume wenzangu hawatoi hela
Wanaume wa jf huu mwezi mpaka uishe mtaona rangi zote
Acha niendelee kucheka tu mimi
Yaani wamepatikana kila siku thread zaoAcha na wao wasemwee kila siku wanatusema mno
Yeah sure mkuu. Binafsi sipokeagi lawama za jumlaHii kasumba ya kutuhuma wanaume wote wa JF ni ukosefu wa ukomavu wa akili kabisa.. Umefuatwa pm cha ajabu badala ya kumpokea mmoja mara umempokea wa Italia, mara wa Mbeya mara wa Mkoa gani mwingine sijui mnaambizana mumbembelezani hadi usingizi.. Matured Man hawezi kukupigia usiku eti akubembeleze ulale huyo ni hawa waliomaliza Vyuo majuzi sasa mkukutana nao msituhukumu siye wengine ambao Jua limeshazamaa na hatuna hizo slay life