Wanaume wa humu mna dharau sana

Wanaume wa humu mna dharau sana

Habari za muda huu

Yaani wanaume wa humu sijajua ni dharau,ni Malaya,au wapoje kwasababu,kila mtu anakuona kama Malaya tu,mara oooh unatangaza biashara.

Mara sijui nini,kutongoza kwenyewe hawajui,mtu badala akubembeleze analazimisha kama vile anakujua,
Wengine ni kutamka pesa zao wakidhani kila mtu anavutika na pesa.

Jifunzeni kutongoza na kujieleza vizuri siyo kila mtu anapenda pesa.

Pesa tunapenda ndiyo lakini siyo za kuhongwa ndiyo maana tunafanya kazi.badilikeni
Nani kakuonesha tabia "mubaya" kadadaa!?Tema mate nimchape.
 
Merry umekidhi vigezo..unadimpoz,huna kitambi,mrefu saiz ya kati,sio mnene sio mwembamba,unakichuguu nyuma,nywele mpaka mgongoni,black beauty,mguu wa bia,kiuno cha nyigu,macho kama unaniita, shingo ya twiga iliyo na pingili pingili..shule ipo kichwani.. kama huna hzo sifa acha wakuradharau kama unazo nitafute.
 
Back
Top Bottom